Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal yetu afu naona watu wamekimbia humu kumbe Hampendi kufungwa eee....hapa ndio tumpime emery je EPL aiweza hasa timu isio toa mafungu kama arsenal? Je kweli n mrithi wa Wenger?
 
Tatizo la ozil ni mshahara wake ndio unamtesa unai maana 350k ni parefu mno kulinganisha na kiwango chake na hii ndio imemfanya ramsey atembee.....body ya arsenal ilikurupuka hapa
 
Tatizo la ARSENAL siyo KOCHA kama ilivyokuwa kwa Man U. Arsenal haina serious investor ..haifanyi usajili wa kukamilisha uundwaji wa timu. Inasajili striker msimu huu, beki midfilder, kipa haisajili. Mwakani inasajiili kipa, striker ameshachoka!

Unai-OUT
Unai-OUT
Unai-OUT
Unai-OUT
Unai-OUT
Unai-OUT
Unai-OUT
Unai-OUT
Unai-OUT
Unai-OUT
 
NIAJE GUNNERS

Aisee nimewamiss

Ok.
Moja ya vitu ambavyo vinaumiza kichwa mashabiki wa Arsenal ni kuhusu usajili na jinsi ya kujenga timu ya ushindi tuweze kuishia kule juu ya nne bora

Tumeimiss CHAMPIONS LEAGUE and it's our destiny to be there ila wakati linatokea suala hili la usajili imenibidi nichanganue kwanini UNAI EMERY anyimwe pesa.....? Sidhani kama peke angu ndo najiuliza Hivi najua hata nyie mnajiuliza Hivi.

TRANSFER POLICY alizozijenga ARSENE WENGER ndo chanzo kikubwa cha kukuza urafiki wake na STANLEY KROENKE napenda kumuita MPUMBAVU WA KIMAREKANI na sakata hili lilizaliwa baada ya mifumo ya WENGER kumjazia mapesa ya faida mzee KROENKE

Itambulike kwamba lilipokuja suala la ujenzi wa uwanja wa EMIRATES ndio chanzo cha WENGER kumshauri KROENKE kubadili transfer policy na wakaamua kusajili kwa ela ndogo na kukuza kwa ela kubwa ili kulipa deni la uwanja na kuingiza faida kwa wakati mmoja na ndipo tuliposhuhudia kuanzia miaka ya 2006 tulianza sana kupoteza nyota wetu muhimu

Itambulike kwamba mzee wenger ni PROFESSOR WA UCHUMI hivyo mbinu zake ziliweza kumpa KROENKE pesa za faida saana na kunogewa na hii tabia baada ya kuwanunua wachezaji kama RVP, NASRI, FABREGAS, CLICHY, HENRY, HLEB, na wengineo wengi walichukuliwa kwa pesa ndogo ila wakauza kwa faida hapa ndo KROENKE alizidi kudatishwa na policy hizi

Asiwaambie mtu pesa tamu Ndugu zangu nadhani mnajua hilo

UNAI EMERY anateswa na TRANSFER POLICY alizozikuta na SVEN MISLITANTS anataka kusepa kulingana na hizi transfer policy na hata huyo EDU ambae ni mchezaji wa zamani wa Arsenal aliechaguliwa kumrithi SVEN MISLITANTS akiondoka amesema hatokuja mpaka transfer policy ibadilishwe

Mnadhani UNAI EMERY haumii......? Timu ikifungwa huwa namuangalia anavyohamasisha namuangalia macho yake anaumizwa from to be with NEYMAR down to IWOBI anatamani awapige wakina MAN CITY lakini MAINTLAND NILES hana ubavu wa kumzuia LEROY SANE

Leo hii sisi wa kumchukua JAMES RODRIGUEZ Fundi kwa mkopo wa POUND MILLION 3...? huyu ni wa kumchukua jumla huyu maana hana pa kwenda na ni Fundi balaaaa, sisi wa kushindwa mshahara wa CARASCO......?

Mnadhani UNAI EMERY anapenda OZIL aondoke pale......? Kaambiwa hapewi pesa mpaka OZIL aondoke maana mshahara wake utawafanya wengine wadai mshahara mkubwa na Ndio chanzo cha RAMSEY kudai mshahara mnono

TRANSFER POLICY ndo tatizo zibadilishwe kwanza ndio tumlaumu UNAI EMERY coz yeye anamtaka mchezaji anaambiwa hela hakuna

Nani kakuambia Kazi bila nyenzo inafanyika.....?

Kocha aletewe anaowataka

WAMPE PESA WAACHE UBWEGE

#COYG
IMG_20190116_232024.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
NIAJE GUNNERS

Aisee nimewamiss

Ok.
Moja ya vitu ambavyo vinaumiza kichwa mashabiki wa Arsenal ni kuhusu usajili na jinsi ya kujenga timu ya ushindi tuweze kuishia kule juu ya nne bora

Tumeimiss CHAMPIONS LEAGUE and it's our destiny to be there ila wakati linatokea suala hili la usajili imenibidi nichanganue kwanini UNAI EMERY anyimwe pesa.....? Sidhani kama peke angu ndo najiuliza Hivi najua hata nyie mnajiuliza Hivi.

TRANSFER POLICY alizozijenga ARSENE WENGER ndo chanzo kikubwa cha kukuza urafiki wake na STANLEY KROENKE napenda kumuita MPUMBAVU WA KIMAREKANI na sakata hili lilizaliwa baada ya mifumo ya WENGER kumjazia mapesa ya faida mzee KROENKE

Itambulike kwamba lilipokuja suala la ujenzi wa uwanja wa EMIRATES ndio chanzo cha WENGER kumshauri KROENKE kubadili transfer policy na wakaamua kusajili kwa ela ndogo na kukuza kwa ela kubwa ili kulipa deni la uwanja na kuingiza faida kwa wakati mmoja na ndipo tuliposhuhudia kuanzia miaka ya 2006 tulianza sana kupoteza nyota wetu muhimu

Itambulike kwamba mzee wenger ni PROFESSOR WA UCHUMI hivyo mbinu zake ziliweza kumpa KROENKE pesa za faida saana na kunogewa na hii tabia baada ya kuwanunua wachezaji kama RVP, NASRI, FABREGAS, CLICHY, HENRY, HLEB, na wengineo wengi walichukuliwa kwa pesa ndogo ila wakauza kwa faida hapa ndo KROENKE alizidi kudatishwa na policy hizi

Asiwaambie mtu pesa tamu Ndugu zangu nadhani mnajua hilo

UNAI EMERY anateswa na TRANSFER POLICY alizozikuta na SVEN MISLITANTS anataka kusepa kulingana na hizi transfer policy na hata huyo EDU ambae ni mchezaji wa zamani wa Arsenal aliechaguliwa kumrithi SVEN MISLITANTS akiondoka amesema hatokuja mpaka transfer policy ibadilishwe

Mnadhani UNAI EMERY haumii......? Timu ikifungwa huwa namuangalia anavyohamasisha namuangalia macho yake anaumizwa from to be with NEYMAR down to IWOBI anatamani awapige wakina MAN CITY lakini MAINTLAND NILES hana ubavu wa kumzuia LEROY SANE

Leo hii sisi wa kumchukua JAMES RODRIGUEZ Fundi kwa mkopo wa POUND MILLION 3...? huyu ni wa kumchukua jumla huyu maana hana pa kwenda na ni Fundi balaaaa, sisi wa kushindwa mshahara wa CARASCO......?

Mnadhani UNAI EMERY anapenda OZIL aondoke pale......? Kaambiwa hapewi pesa mpaka OZIL aondoke maana mshahara wake utawafanya wengine wadai mshahara mkubwa na Ndio chanzo cha RAMSEY kudai mshahara mnono

TRANSFER POLICY ndo tatizo zibadilishwe kwanza ndio tumlaumu UNAI EMERY coz yeye anamtaka mchezaji anaambiwa hela hakuna

Nani kakuambia Kazi bila nyenzo inafanyika.....?

Kocha aletewe anaowataka

WAMPE PESA WAACHE UBWEGE

#COYGView attachment 997356

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe kina Nyika wapo hadi Ulaya
 
Yaani bora ya yule mwanae Josh kidogo ni mtu wa soka lakini bwana mdogo hana power kubwa kama mzee ...yaani muda mwingine naona bora angeenda kurest in piece ili dogo arithi naamini tutaenjoy sana:confused::confused:
 
NIAJE GUNNERS

Aisee nimewamiss

Ok.
Moja ya vitu ambavyo vinaumiza kichwa mashabiki wa Arsenal ni kuhusu usajili na jinsi ya kujenga timu ya ushindi tuweze kuishia kule juu ya nne bora

Tumeimiss CHAMPIONS LEAGUE and it's our destiny to be there ila wakati linatokea suala hili la usajili imenibidi nichanganue kwanini UNAI EMERY anyimwe pesa.....? Sidhani kama peke angu ndo najiuliza Hivi najua hata nyie mnajiuliza Hivi.

TRANSFER POLICY alizozijenga ARSENE WENGER ndo chanzo kikubwa cha kukuza urafiki wake na STANLEY KROENKE napenda kumuita MPUMBAVU WA KIMAREKANI na sakata hili lilizaliwa baada ya mifumo ya WENGER kumjazia mapesa ya faida mzee KROENKE

Itambulike kwamba lilipokuja suala la ujenzi wa uwanja wa EMIRATES ndio chanzo cha WENGER kumshauri KROENKE kubadili transfer policy na wakaamua kusajili kwa ela ndogo na kukuza kwa ela kubwa ili kulipa deni la uwanja na kuingiza faida kwa wakati mmoja na ndipo tuliposhuhudia kuanzia miaka ya 2006 tulianza sana kupoteza nyota wetu muhimu

Itambulike kwamba mzee wenger ni PROFESSOR WA UCHUMI hivyo mbinu zake ziliweza kumpa KROENKE pesa za faida saana na kunogewa na hii tabia baada ya kuwanunua wachezaji kama RVP, NASRI, FABREGAS, CLICHY, HENRY, HLEB, na wengineo wengi walichukuliwa kwa pesa ndogo ila wakauza kwa faida hapa ndo KROENKE alizidi kudatishwa na policy hizi

Asiwaambie mtu pesa tamu Ndugu zangu nadhani mnajua hilo

UNAI EMERY anateswa na TRANSFER POLICY alizozikuta na SVEN MISLITANTS anataka kusepa kulingana na hizi transfer policy na hata huyo EDU ambae ni mchezaji wa zamani wa Arsenal aliechaguliwa kumrithi SVEN MISLITANTS akiondoka amesema hatokuja mpaka transfer policy ibadilishwe

Mnadhani UNAI EMERY haumii......? Timu ikifungwa huwa namuangalia anavyohamasisha namuangalia macho yake anaumizwa from to be with NEYMAR down to IWOBI anatamani awapige wakina MAN CITY lakini MAINTLAND NILES hana ubavu wa kumzuia LEROY SANE

Leo hii sisi wa kumchukua JAMES RODRIGUEZ Fundi kwa mkopo wa POUND MILLION 3...? huyu ni wa kumchukua jumla huyu maana hana pa kwenda na ni Fundi balaaaa, sisi wa kushindwa mshahara wa CARASCO......?

Mnadhani UNAI EMERY anapenda OZIL aondoke pale......? Kaambiwa hapewi pesa mpaka OZIL aondoke maana mshahara wake utawafanya wengine wadai mshahara mkubwa na Ndio chanzo cha RAMSEY kudai mshahara mnono

TRANSFER POLICY ndo tatizo zibadilishwe kwanza ndio tumlaumu UNAI EMERY coz yeye anamtaka mchezaji anaambiwa hela hakuna

Nani kakuambia Kazi bila nyenzo inafanyika.....?

Kocha aletewe anaowataka

WAMPE PESA WAACHE UBWEGE

#COYGView attachment 997356

Sent using Jamii Forums mobile app
Mshahara wa ozil unaweza kulipa wachezaji wakali wawili.....tatizo financial policy ya Arsenal mizinguo sana na ili hili libadilike inabidi stan afe maana kusema kwamba atauza hisa zake hilo tusahau kabisaaaaaaaaaa mana kama Usmanov alishindwa kumshawishi sisi washabiki hatutoweza kamwe
 
😂😂😂😂 nacheka kwa dharau siku chache zijazo Manchester United atamkabidhi mtu yake ya nafasi 6 😂😂😂😂
WELL COME BACK THE REAL ARSENAL
 
Arsenal ni team yenye Management ya kibahili sana, yani hii team ni miongon mwa Top Club zinazoingiza mpunga mwingi kupitia endorsements, etc lakin linapokuja suala la kuingia mfukon na kuvuta wachezaj wa maana utata ndio unaanzia hapo.

Asilimia kubwa ya wachezaj wake wapya kama Auba etc wote huichagua Arsenal kwa mapenz yao kama kutimiza ndoto zao za tangu utoton lakin Arsenal imeshindwa kujiongeza.

Mimi kama mpinzan, naumia napoona team inazama na kupunguza upinzan wa EPL.

Karibuni Liverpool milango ipo wazi bado hamjachelewa😊
 
Arsenal ni team yenye Management ya kibahili sana, yani hii team ni miongon mwa Top Club zinazoingiza mpunga mwingi kupitia endorsements, etc lakin linapokuja suala la kuingia mfukon na kuvuta wachezaj wa maana utata ndio unaanzia hapo.

Asilimia kubwa ya wachezaj wake wapya kama Auba etc wote huichagua Arsenal kwa mapenz yao kama kutimiza ndoto zao za tangu utoton lakin Arsenal imeshindwa kujiongeza.

Mimi kama mpinzan, naumia napoona team inazama na kupunguza upinzan wa EPL.

Karibuni Liverpool milango ipo wazi bado hamjachelewa

Duh wewe jamaa siku zote unatupigia kelele sikujua kua ni shabiki wa Liverpool imebidi nicheke tu.
 
Back
Top Bottom