MLA PANYA SWANGA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,159
- 5,399
Nenda kwenu huko tuendelee ujinga wako kwani umekuwa au umefukuzwa kwenye timu yako hadi uje huku. Ni burudani tu kuwa mashabiki wa timu fulani kwani kuna kitu unachangia ktk klabu hata kadi huna unakaa kutupigia kelele hata uwanjani hujawahi kuingia hata siku moja.Zimebaki siku 4 muanze rasmi kugombea nafasi ya 6 na wakna wolves huko.
Hii sio team, na haijawah kuwa team bali ni pango la walowezi wanaovaa jezi.
Acha ulimbukeni GUNNERS tutabaki kuwa GUNNERS forever hapa hajaitwa mtu. Timu inakutesa unakosa kulala wakati wahusika wametulia. Liverpool kasota sana top 6 miaka nenda rudi kwa sasa amerudi, man bado anahangaika lak missing miwili kateka top 6 Chelsea naye sasa wewe mashabiki gani wa kutupigia kelele za kijinga hapa. Mpira huujui kabisa, angalia Madrid anavyohaha sasa hivi akiwa bingwa UEFA.
Sent using Jamii Forums mobile app
We are the GUNNERS forever.