Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wapiga bunduki walio geuka warusha mishale!

Ndugu yangu rubaman na Wacha1 hamna haja ya kusononeka wala kutukimbia hapa!Ndiyo soka kaka

Nilikuwa nawajibika mchana kutwa, unajua mambo ya huku yalivyo. Sikuweza kuangalia mechi zaidi ya kufuatilia online. Matokeo mabaya sana haya. Arsenal tuna gundu fulani katika CL, hadi litakaposafishwa ndo tutaweza kufanya vizuri.
 
Kama leo tungekua tunacheza na Barca au Bayern, jamaa wangecheza mpira wa kueleweka. Ni wazi kuwa jamaa walibweteka baada tu ya kuona kuwa tunacheza na Monaco, kwenye vichwa vyao walikua wanajua piga ua lazima washinde! Inawezekana kusonga mbele japo itakua ngumu sana if am being honest and realistic, tusubiri tuone.
 
rubaman nilikuambia lakini

Nilisema watu waliokuwa wanafurahia kupangiwa na Monaco ni wale wasiojua kitu. Anyway, ndo mambo ya soka mkuu. CL mtoano timu yoyote inaweza kuiondoa timu yoyote. Ingawaje ni kibarua kigumu tulichonacho mechi ya marudiano bado tunaweza kushinda kama tulivyowapiga Inter kwao 5-1. Nafasi ni finyu sana.
 
paulista hajui kingereza hivyo ni vigumu kuwasiliana na timu yake walcott hakuanza maana wenger alihofia mashambulizi kwani welbeck ni mkabaji mzuri na ana ubavu, ila alitakiwa kuingia mapema baada ya monaco kutoshambulia sana, pia bellerin ni kinda mahir sana chamberlain ndo kwanza katoka majeruhi asingeweza kuanza tatizo limekuja baada ya kukosekana kiungo imara wakusumbua beki zao na kupiga mashut golin kwao nae huyu ni Ozil aliyecheza 10 badala ya carzola na rosicky alitakiwa kuanza nafas aliyo kuwa anacheza carzola.
Leo ozil alitakiwa kuanza bench ama kupigwa sab mapema
aliyoyasema henry baada ya mechi ya man city ndo haya tumeyaona leo alisema juu ya carzola kucheza 10 na anavyoibeba timu naamini angecheza 10 hata mambo yangekuwa tofaut sana
Weee! Umenichekesha sana.
Hao wanaojua,wanaozungumza na kuelewa kiingereza walikisahau leo? :lol::lol:
Au walisahau kuwasiliana?
 
Nimeona tumepigwa na counter attacks. Tulikuwa exposed kama vs Antwerp. na vs Stoke. Tunatakiwa kurekebisha huu upuuzi. Hongera kwa wapenzi wa Manchester United, Liverpool kwa ushindi na kuweza kuangalia Champions League maana mnaimiss(hasa Man United) na mtaimiss msimu ujao. Viva Arsenal. We will bounce back. Remember that.
Cc Nzi, DonDonald, Malafyale
 
Kabisa Mkuu nasi tunaweza kabisa kuwafunga kwao ila ningependa kuona mstari wa mashambulizi Walcott anaanza badala ya Ozil ambaye mara nyingi hupunguza speed ya mashambulizi. Inawezekana kabisa kwenda mapumziko tukiwa juu 2-0 au hata 3-0. Let's keep our fingers crossed for a surprise results.

CC: everlenk


.......there's a way! Keep the faith bro.
Kama wao wameweza, sie kitatushinda nini?.....
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Mbu
11006437_10152895466222713_1885113479127149234_n.jpg
 
Labda katika ulimwengu wa maajabu, there's no way we gonna come back from 3-1 to beat them 3-0 in France...No way!

Kwa Arsenal hii wakienda Monaco hata sare hawapati

Hawa wameisha tolewa wajiandae tu na Europa League yao maana kikosi chao hiki hawawezi qualify CL mwakani
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Ahsante sana Mkuu inawezekana kabisa lakini kazi ngumu hasa ukitilia maanani hawa jamaa wamepata magoli matatu ya ugenini. Tunaweza kuwafunga goli tatu lakini wameshagundua ngome yetu ni uchochoro tu unakatiza tu je tukifunga hizo goli tatu tutaweza kuwazuia wasipate hata goli moja!? Maji marefu Mkuu ila inawezekana kuishangaza dunia ya wapenda soka.

Arsenal hawana historia ya kubadili matokeo ya kiwango hicho. Ingekuwa chelsea tungesema tusubiri tuone. Lakini kwa Arsenal ndo imetoka hiyo! Waendelee tu kufukuzia malengo yao ya kila mwaka ya kubakia top 4.
 
Kama leo tungekua tunacheza na Barca au Bayern, jamaa wangecheza mpira wa kueleweka. Ni wazi kuwa jamaa walibweteka baada tu ya kuona kuwa tunacheza na Monaco, kwenye vichwa vyao walikua wanajua piga ua lazima washinde! Inawezekana kusonga mbele japo itakua ngumu sana if am being honest and realistic, tusubiri tuone.

Tatizo ni kuwa huwa mnaangalia ligi ya Uingereza tu hivyo hamjui current form ya timu kwenye ligi nyingine. Hawakubeza hata kidogo sema kiwango bado sana. Kiwango cha Arsenal kinaishia kugombea kubakia top 4 ya EPL.
 
The last team to advance to the QF after losing 2+ goals at home, was Ajax FC in 1969 😎😎😎

Duh mkuu umesahau hao Asernal kama sikosei ilikuwa 2004/2005 walipigwa 3 bila na Inter walivyoenda kule Inter akapigwa 5-1.
1969 Mbali sana.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Duh mkuu umesahau hao Asernal kama sikosei ilikuwa 2004/2005 walipigwa 3 bila na Inter walivyoenda kule Inter akapigwa 5-1.
1969 Mbali sana.


Mzee ni 2003-2004 Arsenal alifungwa e bila Highbury na Inter , walivyokwenda San Siro wakashinda 5 - 1. Lakini ilikua ni katika group stages na Arsenal ilikua lazima ishinde.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Makosa yetu wenyewe yametugarimu, ila uwezekano wakuwafunga 3-0 kwao upo, Monaco sio timu yakututoa sisi kwenye mashindano haya
 
Arsenal hawana historia ya kubadili matokeo ya kiwango hicho. Ingekuwa chelsea tungesema tusubiri tuone. Lakini kwa Arsenal ndo imetoka hiyo! Waendelee tu kufukuzia malengo yao ya kila mwaka ya kubakia top 4.

Bila kusahau kombe lao la FA
 
Target yao ni hii kwa msimu: kuhakikisha katika EPL wanashika nafasi ya 4 ili waingie kwenye UCL, halafu waishie round ya mtoano ili warudi EPL na kupata muda wa kupigania nafasi ya 4 ili waingie UCL, halafu waishie round ya mtoano ili warudi EPL na kupata muda wa kupigania nafasi ya 4 ili......... endeleza mwenyewe

hahaha! na wanashika nafasi ya nne ili wacheze mechi za awali waingize fedha. usisahau kwamba wenga ni profesa wa uchumi na ni mmoja wa wakurugenzi wa aseno. money matters more than silvawares. hii ndio FALSAFA ya aseno tangu zamani. kila mwaka wanatengeneza FAIDA ya kumwaga.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Ningeshangaa kuona ngoma ya watoto inakesha leo!!!!! Acha wagongwe ili waelekeze nguvu zao kupigania top 4....,.....ha ha ha ha ha ha

exactly! huu ndio ukweli mkuu. bora warudi wakaitafute top 4 vizuri.
 
Back
Top Bottom