rubaman
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 4,981
- 3,080
Nilikuwa nawajibika mchana kutwa, unajua mambo ya huku yalivyo. Sikuweza kuangalia mechi zaidi ya kufuatilia online. Matokeo mabaya sana haya. Arsenal tuna gundu fulani katika CL, hadi litakaposafishwa ndo tutaweza kufanya vizuri.