Arsenal (The Gunners) | Special Thread

10850292_10152697487157713_5842355689029690053_n.jpg
 
Nimeambiwa Manure wanachungulia tu wanaona soni khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee good night Bongo, Alaska chichi ndio kwanza tea time ... ... .... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Tunune nini sasa wakati hatumo humo,ingekuwa labda EPL ndo tungenuna,nyie pasueni tu huko UEFA sisi tunawapigia makofi .
 
Wakuu wa Gunners draw ya CL Jumatatu nasikia Manure nao wamo khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Loh!! Ushindwe na ulegee hapo hapo ulipo,usipoitaja Man U husikii raha kabisa,utatuona hivi hivi wenzako tunazidi kusonga mbele.
 
Ahsante sana, tunatesa kwa zamu I just wish we had a similar results on our last EPL match a week ago :):)

Hahahaha!! Kweli kutesa kwa zamu,pole sana we kazana huko UEFA huku EPL sisi tunataka kurudisha heshima kidogo maana dharau zilizidi mno.
 
Hmmmmm!!! Kwa mpira mliocheza juzi heshima yenu mtaisubiri sana, pamoja na ushindi mnono lakini mlikuwa midebwedo tu si wale MANU tuliowazoea kuwaona wakitandaza soka la uhakika.

Hahahaha!! Kweli kutesa kwa zamu,pole sana we kazana huko UEFA huku EPL sisi tunataka kurudisha heshima kidogo maana dharau zilizidi mno.
 
Hmmmmm!!! Kwa mpira mliocheza juzi heshima yenu mtaisubiri sana, pamoja na ushindi mnono lakini mlikuwa midebwedo tu si wale MANU tuliowazoea kuwaona wakitandaza soka la uhakika.

Kidogo kidogo tunapiga hatua si unajua tena kujenga kazi kuliko kubomoa.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom