Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,504
- 28,691
Yah wanamchukua maana tibaut anaenda madrid ,KUNA TETESI KUWA CHELSEA WANATAKA KUMSAJILI TENA PETER CECH
Binafs nipo tofaut kimawazo na mashabik weng wa arsenal, mm ni kipenz cha Cech, nitaumia akiondoka, naamin ubovu wa bek za kati, Kukosekana Namba 6 natural ndio sababu ya Cech kufungwa vile, ukiacha maboko machache tu yake binafs ambayo hata kina Neur,degea wameyafanya WC