kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,562
- 2,628
View attachment 807772Naona mnasajili kwa kasi
Tetesi zinasema mmemsajili kiuno mkabaji hatari kutoka Kenya kwa Psuni Mil 7
View attachment 807772Naona mnasajili kwa kasi
Tetesi zinasema mmemsajili kiuno mkabaji hatari kutoka Kenya kwa Psuni Mil 7
Atulie hivyo hivyoArsene Wenger on French tv: “ I believe Arsenal are signing too many players, Lucas Torreira did play well in this tournament but they already have Elneny in that position so i don’t see why they buy .” [beIN Sports]
ASANTE MWALIMU KashashaUjio wa Lucas Torreira Kuja Arsenal FC ya Uingereza utamfanya Granith Xhaka kuwa central Attacking Midlf ambaye Atakuwa Kazi Maalum ya Kupiga Vertical Pass na Break Through Kwenda Kwenye Offensive Zone Huku Torreira akiwa Deep Defensive Midfielder Ambaye Kazi yake ni Kukaba 2.
Sokratis Papastaopolous
Konstantinos Mavropanos
Calum Chambers
Nacho Monreal
Saed Kolasnac
Stephane Leichsteiner
Héctor Belerin
Lauren Koscienly
Rob Holding
Kutengeneza Eneo la Ulinzi Huku
Héctor Belerin
Nacho Monreal
Konstantinos Mavropanos
Sokratis Papastaopolous
Saed Kolasnac
Stephane Leichsteiner
Wanne kati ya Hawa Wataingia Moja Kwa Moja Kwenye XI.
Kwenye Eneo la Golikipa ni Berno Leno
Kiungo Cha Kati
Lucas Torreira-Pure Defensive
Granith Xhaka-Holding Midfielder
Na watacheza Kwenye Role ya Pivot ama Double Defensive Midfielder.
Upande wa Kulia Henrikh Mikhitarian
Katikati Mbele ya DM ni Aaron Ramsey
Kushoto Kwenye Left Attacking Atakuwa Mesut Mustafa Ozil
Mbele Anasimama
Pierre Emerick AUBAMEYANG
Unanaanisha Beno Leno ataanza first eleven...ASANTE MWALIMU Kashasha
wamemuacha yule GERSON MARTIN alikuwa anafaa sana paleBado wingaView attachment 811366
Yeah Joel Campbelalafu wangepunguza mizigo kama kina welbeck na iwobi ni mara mia wawarudishe perez na yule jamaa wa costarica ana kasi sana yule
Mbona hao wamerudishwa na mazoez wanafanyaalafu wangepunguza mizigo kama kina welbeck na iwobi ni mara mia wawarudishe perez na yule jamaa wa costarica ana kasi sana yule
USAJILI BADO UNAENDELEA NAAMINI WATAWATOA TENAMbona hao wamerudishwa na mazoez wanafanya