Hivi Sanchez atacheza mashindano ya champions league msimu huu?? Maana Manu imeshawasilisha majina ya wachezaji.it's official now,,,View attachment 682431
Huyu ni Robert Pires wa Arsenal, kama gemu likimkubali.Official. Arsenal sign MkhitaryanView attachment 682434
Ukimaindi natuma tena
official,,,Henrik mkhitaryan is a gunnerView attachment 682435
Heshima yako mkuu...Aende tu Sanchez. Tunahitaji mambo mapya na sura mpya.
Itume upya kwangu if possible inbox niioneHeshima yako mkuu...
Naomba unitafsirie ndoto yangu katika uzi wa jinsi ya kutafsiri ndoto.. Ni ya muda mrefu haijatafsiriwa na ilinitatiza
Asante ndugu nimeshaituma inbox kwako.Itume upya kwangu if possible inbox niione
Kweli aseeeeeh ktk hii dili sisi ndo tumewinManure wanatamani kuona mashabiki wa Arsenal wamechukia ila bahati mbaya imekua tofauti.
Bila shaka mkuu ulimaanisha 'hongereni'Hingereni