Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kiungo wa Arsenal Mesut Ozil, 29, anakaribia kupewa mkataba mpya iwapo timu hiyo itafanikiwa kumsajili Pierre-Emerick Aubameyang, 28, kutoka Borussia Dortmund, pamoja na Henrikh Mkhitaryan, 29, kutoka Manchester United. (Sun)
 
Mkurugenzi mkuu wa Arsenal Ivan Gazidis ameonekana mjini Dortmund huku akijaribu kukamilisha uhamisho wa Pierre-Emerick Aubameyang. (Express)
 
Olivier Giroud atajiunga na Borussia Dortmund kwa mkopo hadi mwisho wa msimu iwapo Pierre-Emerick Aubameyang atakamilisha uhamisho wake kwenda Emirates. (Kicker)
 
it's official now,,,
Screenshot_2018-01-22-21-09-45.png
 
Back
Top Bottom