McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,388
- 7,551
Hivi kwanini tukiwachapa huwa mnachanganyikiwa? Kabla ya kuwapa kile kichapo cha 1-3 mlikuwa kwenye form ila tangu tuwape zile tatu naona draw mbili mfululizo! Jitahidini nafasi ya nne siku hizi si lelemama!
mwamba unavovimba mpaka nimecheka duh hizi timu zetu kweli zina mashabiki oyaaaa oyaaaa.