Namchukulia kama kiungo mkabaji mzuri kama Xhaka ...majeruhi yataharibu kipaji chakeKitu pekee nakifuatilia kwenye hizi game za chandimu ni JW10 bado naamini ana nafasi kikosi cha kwanza kwenye game za EPL,tatizo miguu ya plastic yule dogo.
Namchukulia kama kiungo mkabaji mzuri kama Xhaka ...majeruhi yataharibu kipaji chakeKitu pekee nakifuatilia kwenye hizi game za chandimu ni JW10 bado naamini ana nafasi kikosi cha kwanza kwenye game za EPL,tatizo miguu ya plastic yule dogo.
Acha utani bhasGuirassy......️
Köln 1-1 Arsenal
Mkuu ni 1-1au moja bilaGuirassy......️
Köln 1-1 Arsenal
Mkuu ni 1-1au moja bila
mazoezi mazuri kwa vijanaOMG......so sorry guys
Köln 1-0 Arsenal
FT
Köln 1-0 Arsenal
Mkuu nipatie msimamo Ulivyo sasaFT
Köln 1-0 Arsenal
Kumekucha wajameni, tunaruhusiwa kujadili kile kilichotokea jana au tuache tu yapite?
Fc koln 1-0 Arsenal FT.Tupeane matokeo jamani...
Kazi kwenye hatua ya makundi iliisha siku nyingi sana tusibiri draw ndio tunajadili.Kumekucha wajameni, tunaruhusiwa kujadili kile kilichotokea jana au tuache tu yapite?