Congrat's super OG,goli bora la mwaka na asante FIFA kwa kutambua ukweli maana wale wehu walituaminisha wehu wao ingawa tulikataa.
Dah kiongozi asante kwa kuniita sijui tuanzie wapi kuliweka Jukwaa letu active, maana mvuto umepotea kabisa!! Lakini huyu mzee Venger amechangia sana kuua Morali ya Washabiki...
Hongera kwa kuendelea kutamba humu ndani mkuuJW10 anaingia nafasi ya Lacazette.
Ligi ya mchangani hii usiwe na hofu nayo Mkuu, jenga hofu kwenye EPL kule...!!Safi Sana niliingiwa na hofu Sana yakutolewa hii round
Ngoja nianze kumfuatilia huyu SerengetiBoyEddie Nketiah kijana wa miaka 18 anatubeba begani kwenye Micky Mouse Cup
FT
Arsenal 2-1 Norwinch
Good thing ni kua JW10 amecheza dakika 120 leo anaendelea kupata game fitness akiendelea ivi naona atatusaidia sana na possibly ataenda Russia.
Hongera kwa kuendelea kutamba humu ndani mkuu
Ngoja nianze kumfuatilia huyu SerengetiBoy
Imefaa sana mkuu umetuweka alive, hatujakimbia kivile...ndomana baada ya kuitwa tumerudiNaifanya thread iwe hai tu mkuu,mimi ni shabiki mzee sina jinsi zaidi ya kuwepo hapa hata kama ndugu zangu wamekimbia.
Dah majina yote hayo yake??Baada ya game mzee AW kamwaga misifa kwa dogo utadhani anamzungumzia Messi.
Wahuni washaongeza maneno yao baada ya mechi ya jana