Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tunakuchekesha kivipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
71baa2fdf0febc9c626912d43c112847.jpg
 
Pamoja na kutolewa nishai Stoke, bado tupo [HASHTAG]#coyg[/HASHTAG]
Ila babu naye kumbe ni masochist! Nilikuwa na wasiwasi naye, ila sasa nina uhakika 110%..
 
Mara hii mshaanza kulia na refa?! Lacazzete kanyimwa goal kwa sababu alikuwa offside,hata cm moja ni offside tu. Bellerin kanyimwa penati ya ndotoni kwako kwenye mechi ya jana hakukuwa na tukio hilo.
Umejibu kishabiki zaidi kuliko uelewa!
 
Back
Top Bottom