Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,260
- 13,832
Hili lifaransa hopeless kabisa, angalia alivyopanga team.
Hahahaaaa.. Ndio maan mnanichekesha sana
Kutumia majina bandia kuna maana kubwa sana... wise comments worthy a million...wahurumie bado wanamajonzi ya msiba wa jana
Lacazette amenyimwa goli Jana. Bellerin kanyimwa penalty. It's us against the world.
Mara hii mshaanza kulia na refa?! Lacazzete kanyimwa goal kwa sababu alikuwa offside,hata cm moja ni offside tu. Bellerin kanyimwa penati ya ndotoni kwako kwenye mechi ya jana hakukuwa na tukio hilo.Tumeporwa ushindi
Umejibu kishabiki zaidi kuliko uelewa!Mara hii mshaanza kulia na refa?! Lacazzete kanyimwa goal kwa sababu alikuwa offside,hata cm moja ni offside tu. Bellerin kanyimwa penati ya ndotoni kwako kwenye mechi ya jana hakukuwa na tukio hilo.