Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwangu itakua habari njema kama AW atakubali ku-extend mkataba wake i still trust the old man.
Kocha mzuri ila hii comment yake tu "...Wenger said in August that he believed "the only way to be a manager is to spend the club's money as if it were your own". Hapo ndipo palianza matatizo, haswa kwa wale wapenzi haswa, wanunua seasons ticket na merchandise..wakawa wanajiuliza huyu anatumia hela kama zake kivipi?! Na wana point kwa kweli..
 
Kama atakubali kiaje tena mkuu? Mbona imeshakua official tayari

IMG_3961.jpg

Nilikua nasubiri official statement muda ule naandika comment sikua na taarifa rasmi zaidi ya tetesi za waandishi tu.
 
Alichosema Tony Adams kuhusu Gunners....

Nahodha wa zamani wa kikosi cha Arsenal Tony Adams amesema kwamba kikosi cha sasa cha Arsenal hakina uwezo wa kutwaa taji la EPL na anaona utawala wa Wenger kuisha kwa machozi.

Kocha wa Arsenal ameongeza muda wa kuitumikia klabu hiyo kwa kufikia miaka 21 yani miaka miwili zaidi kwa kusaini mkataba mpya.

Hata hivyo Adams ambaye aliiongoza Gunners kutwaa mataji manne ya EPL amesema kwamba "alisali" ili Wenger asiongeze mkataba baada ya kutwaa taji la FA dhidi ya Chelsea na amekiri kwamba kama hakutokuwa na maboresho ya wachezaji wa kiwango cha hali ya Dunia basi anaona mafanikio aliyowahi kuyapata Wenger hapo karibuni yatapakazwa matope.

"Naamini hiki kikosi hakiwezi kutwaa ubingwa katika miaka miwili ijayo . Na huenda heshima yake ikaharibika kwa muda mfupi sana na nafikiri hiyo itakuwa hudhuni kubwa sana hasa ukizingatia makubwa aliyofanya klabuni ."
70e12fd9c074f11a7f71d101dd41560c.jpg
 
Alichosema Tony Adams kuhusu Gunners....

Nahodha wa zamani wa kikosi cha Arsenal Tony Adams amesema kwamba kikosi cha sasa cha Arsenal hakina uwezo wa kutwaa taji la EPL na anaona utawala wa Wenger kuisha kwa machozi.

Kocha wa Arsenal ameongeza muda wa kuitumikia klabu hiyo kwa kufikia miaka 21 yani miaka miwili zaidi kwa kusaini mkataba mpya.

Hata hivyo Adams ambaye aliiongoza Gunners kutwaa mataji manne ya EPL amesema kwamba "alisali" ili Wenger asiongeze mkataba baada ya kutwaa taji la FA dhidi ya Chelsea na amekiri kwamba kama hakutokuwa na maboresho ya wachezaji wa kiwango cha hali ya Dunia basi anaona mafanikio aliyowahi kuyapata Wenger hapo karibuni yatapakazwa matope.

"Naamini hiki kikosi hakiwezi kutwaa ubingwa katika miaka miwili ijayo . Na huenda heshima yake ikaharibika kwa muda mfupi sana na nafikiri hiyo itakuwa hudhuni kubwa sana hasa ukizingatia makubwa aliyofanya klabuni ."
70e12fd9c074f11a7f71d101dd41560c.jpg
Ule mchanyato wao wa backline watu wazima kuanzia 30 kwenda juu ulikuwa ukata kweli walitupa shida sana kuja kupata roho mbaya kama zile za keawon winterburn Lee dixon duh parefu
 
Alichosema Tony Adams kuhusu Gunners....
Labda kweli babu ataumbuka, ila tuseme AW hakupewa mkataba ingekuwaje?! Makocha/Mameneja wa uhakika wote wako kwenye mikataba, alitaka tukae bila kocha/meneja?!
Yote wivu tu, yeye alitegemea angepewa nafasi pale, AW alimpiga chini, wanadai alimwambia ajifunze kwanza ukocha, akiiva poa, sasa yeye ka mind, yawezekana pia ni swala la Tony Adams kuuza kitabu chake, ambacho sidhani hata kama kimepata soko kihivyo, mambo ya Yesu na Yuda kwenye hili...TA hana shukrani kabisa...
 
Arsenal are ready to make an improved bid worth £122m to sign Monaco striker Kylian Mbappé. [L'Equipe] [HASHTAG]#afc[/HASHTAG]

Wenger on Mbappe: "Where do you think he might finish? Somewhere where he has a good chance to play and is sure to play."

Wenger on Mbappe: "The boy has made enough impression to be basically sure a club who spends a £100m is to make at least the red carpet."

Wenger on Mbappe: "Nobody will buy a player for £100m and say, 'Come on, sit in the stands'."
 
Arsenal have increased their offer for Kylian Mbappe
to £95m, according to reports.
Mbappe reportedly has a £100m price tag
Arsenal had a £87m bid rejected last week
18-year-old Mbappe is in high demand after 26 goal
season
The Daily Star and Sunday Express claim that Arsenal have
increased their bid for Mbappe to £95m.
The reports come days after L’Equipe revealed that Arsenal
had bid £87m for the teenager, which was rejected by
Monaco.
Monaco are looking for more than £100m for the striker and
are believed to have received offers from Real Madrid and
Manchester City.
There was some confusion over why Arsenal would bid a
lower amount than Real Madrid and Manchester City who
reportedly bid well over the asking price, but the Star and
Express say that Arsenal have offered more money up front
than other clubs.
Signing Mbappe for such a huge amount of money would
certainly signal the club’s intent to push for the Premier
League title next season.
However, the likelihood of the signing happening is still
incredibly low.
 
Arsenal are ready to make an improved bid worth £122m to sign Monaco striker Kylian Mbappé. [L'Equipe] [HASHTAG]#afc[/HASHTAG]
Arsenal have increased their offer for Kylian Mbappe
to £95m, according to reports..
Kweli twahitaji striker wa ukweli, ila sidhani kama AW na Arsenal watalipa hizo hela, bahili sana wale, ila najuwa nini?! Nafikiri katikati twahitaji attacking midfielder wa ukweli, defensive midfielder na ofcourse striker wa ukweli, ila kwa Mbappe sawa ila bei..Mabeki naona wako poa tu, haina haja ya kununua wapya...
 
Mundo Deportivo say Barça have offered Arsenal the chance to sign one of Rafinha, Arda Turan or Denis Suarez as part of a deal for Bellerin.
 
Back
Top Bottom