Yaani nawalaumu waliomruhusu kuwa na hisa kwenye timu!!!Na mimi naomba ku-declare interest, mimi ni Man Utd dam, nawaombea mshinde ili atleast mpate cha kujipoozea machungu yote. Mkuu unafikiri mkifungwa hapa ndio Wenger ataondoka? Arsenal haiendeshwi kama Chelsea kuwa mtu flani ndio anayeamua kwasababu tu matokeo mabaya. Wenger ataondoka siku akitaka kuondoka.
Ila bado man u ana ndoo 3 msimu huu..
Umesema kweli mtani hii pesa pauni milioni 150 sio mchezo huipati kwenye kombe lingine hata Uefa huipatiUkiona umemaliza msimu bila EPL hakika hata uchukue makombe mengine yote except UCL hakuna anaekuchukulia serious,mimi ni shabiki wa Arsenal ila msimu huu Chelsea katia heshima pale England sisi wengine acha tujifariji na ivi vya kuungaunga,narudia tena England bingwa na kidume ni yule ananyanyua kwapa kwenye EPL.
Hawa wengine wa mbele hawaamini wanachokiona ktk bango!
are you sure ako ni hisa kwenye timu?Yaani nawalaumu waliomruhusu kuwa na hisa kwenye timu!!!
Epl bingwa ni paund mil 38 msiwe mnakurupukaUmesema kweli mtani hii pesa pauni milioni 150 sio mchezo huipati kwenye kombe lingine hata Uefa huipati
Mkuu!!Chelshiiit walijua ni mteremko Leo, walichokutana nacho ni kitawatia kidonda cha Holiday nzima.
Na bado tunawasubiri kwenye community shield hapo hapo Wembley
Ila bado man u ana ndoo 3 msimu huu..
Mwisho wa siku yote yanahesabika kama major trophies isipokua CSUkiona umemaliza msimu bila EPL hakika hata uchukue makombe mengine yote except UCL hakuna anaekuchukulia serious,mimi ni shabiki wa Arsenal ila msimu huu Chelsea katia heshima pale England sisi wengine acha tujifariji na ivi vya kuungaunga,narudia tena England bingwa na kidume ni yule ananyanyua kwapa kwenye EPL.
Mwisho wa siku yote yanahesabika kama major trophies isipokua CS
Mwisho wa siku yote yanahesabika kama major trophies isipokua CS
Tena bila penalty ya utata kama wale wengineAlhamdulillah, sio mbaya as na sisi tumetoka na kikombe na kubwa zaidi kumfunga bingwa wa EPL fainali.
COYG
Hata mm nilivyoona yumo nikajua yaleyaleSikutegemea kumuona metersacker ktk ubora huu na ni miongoni mwa wachezaji walionitia wenge tangu mwanzo ila arsenal