Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,315
- 7,731
Haaaaaaaaa. Watacheza na nani kwani
Watakao wakuta huko.
Haaaaaaaaa. Watacheza na nani kwani
NiliwambiaKucheza kwenu Europa hakuepukiki
Ndugu Yangu imekuwa kama ilivyotakiwa.Leo nimefurahi sana.Tupumzike tupumzike kaka, kwa kweli tulianza fresh mno, tuko kama puto sasa, mwenzenu nishajiandaa na @europaleague, muhimu kuliko chote [HASHTAG]#wengerout[/HASHTAG] [HASHTAG]#kronkeout[/HASHTAG] @alisheriusmanov @allegriin
Nimechoka na huyu babu kabisa kabisa..
Mtakalia tu leo! Hahaha, kazi mnayo! Shangilieni sana, David njoo The Blues bana, achana na hawa wakamata mitutu!
Mwingereza namaanisha english based players, UK, anatoka Wales ambayo ni sehemu ya Uk.Hata hivyo Ramsey siyo mwingereza
Washabiki feki hao, mpaka timu ishinde ndo anatokeza, siku za hard time kajificha!Aisee kumbe Maxence ni mwana Blues mwenzangu, Chelsea hoyeeée mabingwa 2017
Ramsey ni British/welsh kuna England/English yy sio English ila ni British/Uengereza sie Waswahili kote ni Uengereza, Kama nimekosea mtu atarekebisha.Hata hivyo Ramsey siyo mwingereza
maombi vp? Dua mbaya huwa hazipokewi sana zinajirudia YNWA!Naona kwa 'wabaya' wetu bado ni 0-0
Tuendelee kuomba
Washabiki feki hao, mpaka timu ishinde ndo anatokeza, siku za hard time kajificha!