Majighu2015
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,924
- 3,904
Hakuna mabadiliko yoyote yatatokea msimu huu. Wenger ni yuleyule,timu ni ileile ya kina Iwobi na Walcot ambao hawawezi kupambana na timu kubwa.
Angalia usajili wa man utd,man city, chelsea..Kikosi walichonacho Totenham,Liverpool wapo too far ukifananisha na kikosi chetu.
Arsenal itabadilika Wenger akiondoka,yule babu ni mbahili sana na hajali fans wake tunataka nn. Yeye anachojali ni kuwa na cheap kikosi ili apate faida asilimia 500 yani yeye hana mpango na kombe kabisaaaaa.
Nadhani ni muda muafaka kwa fans waliopo UK kugoma kuingia uwanjani na kushinikiza huyu kibabu Wenger aondoke atuachie timu yetu.
Bodi ya Arsenal nao hawana nia njema na mashabiki wa Arsenal. Wanamuachia babu anaharibu timu tu na wao wapo. Mm nawalaumu sana bodi ya Arsenal kuliko hata Wenger mwenyewe.
Yan kwa sasa sina hata mzuka wa kuwaangalia Arsenal caz najua hamna kitu kitabadilika msimu huu.
Wana Arsenal mnashauri nini kuhusu timu yetu??
Angalia usajili wa man utd,man city, chelsea..Kikosi walichonacho Totenham,Liverpool wapo too far ukifananisha na kikosi chetu.
Arsenal itabadilika Wenger akiondoka,yule babu ni mbahili sana na hajali fans wake tunataka nn. Yeye anachojali ni kuwa na cheap kikosi ili apate faida asilimia 500 yani yeye hana mpango na kombe kabisaaaaa.
Nadhani ni muda muafaka kwa fans waliopo UK kugoma kuingia uwanjani na kushinikiza huyu kibabu Wenger aondoke atuachie timu yetu.
Bodi ya Arsenal nao hawana nia njema na mashabiki wa Arsenal. Wanamuachia babu anaharibu timu tu na wao wapo. Mm nawalaumu sana bodi ya Arsenal kuliko hata Wenger mwenyewe.
Yan kwa sasa sina hata mzuka wa kuwaangalia Arsenal caz najua hamna kitu kitabadilika msimu huu.
Wana Arsenal mnashauri nini kuhusu timu yetu??