Ndugu wapenzi wa Arsenal poleni kwa kichapo cha bao 1-0 sasa jitihada za champions league zimeanza kuwa ngumu!!
Mimi ni mpenzi mkubwa wa kandanda (na si mpenzi wa timu), kwa maana hiyo sioni cha ajabu Arsenal kufungwa na Norwich
Sio roho ya paka,huu ndo ushabiki,ukiwa glory hunter utahama timu mpaka uchoke.Roho kama ya paka,endelea kujikaza.