Wacha upuuzi huo, neno linaumba kitu lazima ukue , umeelewa???????kwa sababu gani asa...si hakutaki goma limeisha utamu anakupiga chini we unang'ang'ana tu why?? yaani mi uning'ang'ania ndo utashangaaa ntakuwa kutwa nabandua mahouse girl mapka mwenyewe unaondoka kurudi kwenu vikindu