UHURU times hii
Ngosha hayo maandishi ni madogo sana, andika baadhi muhimu tusome wote.
Kuna mabeberu wenye akili pia...
Umeona eeh?😂😂😂Duu mbona Kingereza kibaya hivyo?
Arizona Times lilibadilisha jina 1970, hivyo kwa sasa haliko. Belgium Daily ni akufikirika-magazeti yao yana majina ya kwao. Hicho kingereza anajua mwenyewe aliye andika. Ni wazi mleta bandiko ana lake, bahati mbaya amenasika vizuri kwa kuleta vitu hewa.Hakuna uchafu sujui gazeti liitwalo arizona times dunia hii, labda muwadanganye wazee wasiojua kutumia mitandao.
Ikiwa akili yako ni ya kiwango cha kuku, unaweza kukubali huu udaku, lakini kama akili yako ni ya angalao kidato cha 2 huwezi kamwe kuukubali huu udaku.
Hichi kingereza Ni Cha nchi gani Mkuu?
Lissu ni pochi tu. Hapendwi mtu pale..
FAKE NEWS!!!!!
Kiingereza cha Mbagala hiki, kudadeki!!