Area 255 V/s 254, jinsi Mkenya huyu alivyotathimini

Wananchi wetu wanapata huduma nzuri kila nyanja kuliko ninyi mnaojitapa mko na uchumi mzuri.
Shosho mzima uko busy google ukiokota habari kweli ninyi ni wapumbavu by nature
Ukapenya wapi? Yaani maoni ya mkenya mmoja yamefanya mrukeruke kama mtoto ambaye amenunuliwa lollipop tatu. Mnatia huruma sana. Maoni ya wengi mnayakataa.
Hebu niambie/nieleze, kwa nini mpo LDC?
 
Wananchi wetu wanapata huduma nzuri kila nyanja kuliko ninyi mnaojitapa mko na uchumi mzuri.
Shosho mzima uko busy google ukiokota habari kweli ninyi ni wapumbavu by nature
Lala sasa wewe kijusi. Kesho ni shule. Sitaki uuliwe kama yule mwanafunzi aliyeuliwa mwaka jana. Walimu wa bongo hawana utu.
 
Hata hatukushangai maana ulishawahi kuandika humu hutokaa usifie au kuandika mazuri ya Tanzania.


Mtu mzuri ni yule anaweka wazi mabaya au kasoro zako, ni juu yako kujitathimini na kuzifanyia kazi ili usonge mbele. Mtu mbaya anaweza kuwa ni yule akusifiaye tu.

Let his criticisms, as a nation, be our mirror through which we can see our shortcomings and flaws.
 
Inawezekana akawa ni Mkenya, hii hutokea, nimewahi kuona hata Mtanzania ambaye anasifia kila cha Kenya na kuponda kwao, tatizo ni pale mtu anakosa kuisema kama ilivyo, yaani hata kama unasema mazuri, basi yaweke yaonekane ya kweli, sio unatia viungo vingi hadi unaowasifia wanakushtukia.
Kwa mfano nina uhakika kuna Watanzania wanasoma hiyo misifa na kuchekelea kimya kimya maana wenyewe wanajijua walivyo huko Dar.....

Labda wawe chadema hao maana wao ndo hupinga kila kitu kifanywacho na serikali..
 
Nimesema mara nyingi Mkenya yeyote anayeingia Tanzania na kugeuza ndani ya siku chache lazima atoke na misifa maana usipokua makini Watanzania ni wajuzi na wasanii sana kwenye kuficha mapungufu yao, lazima uishi nao kwa muda ndio uanze kuona yote nyuma ya pazia.
Hii ripoti ya huyu jamaa hata sijaisoma yote maana imesheheni makosa mengi sana kwa wale tunaijua Bongo hatuwezi kuisoma yote. Kicheko sana kusema ati Watanzania wote huheshimu alama za barabara, kwamba hamna barabara zenye mashimo Tanzania, Watanzania wote ni wakarimu, Watanzania wote ni waaminifu, hata hiyo BRT huonekana nzuri sana ukiwa nje unapiga mapicha, lakini thubutu kutumia usafiri wake ndio ukome......Yaani hamna haja ya kusoma yote maana amenikumbusha nilivyokua natiririka misifa ya Tanzania wiki ya kwanza kuishi huko.
We si unaingia kusaka mahindi pata senti zako uje kula maisha sio unakuja huku kutuletea shida zako za kenya
 
Aisee we' changudoa wa arusha unapenda kuninukuu sana! Hata sasa hivi nipo Uhuru park kwenye free WiFi.
.Kenya has the best health care system in EA
.BEst education system
.High life expectancy (2nd to Rwanda
.Quality roads (2nd. 1st Rwanda
You can't be ahead of Kenya na bado nyie ni LDC.
ichoboy01 mzungu aliyeona slums za Nairobi ndiye aliyeona ufukara wa watanzania. One of the poorest nations on earth
Uwiiiii slum Mpya imegunduliwa Kenya inaitwa bangladeshi slum hivi Kenya kuna slum ngapi !!!!??
 
Back
Top Bottom