CalvinPower
JF-Expert Member
- Nov 25, 2008
- 1,570
- 880
Are You Receiving Harassing Phone Calls? - Find Out Who is Calling
Mimi nina simu ya voda halafu nikakuta number ya simu inanisumbua sana na ni ya mtandao wa vodacom lakini sijui ni nani kapiga au anaenisumbua na hiyo number. ok its verry simple.
Mfano number hii inakusumbua +25575444443 basi tuma hela kwa njia ya mpesa kwenye hiyo number. hakikisha unatuma hela ambayo imezidi salio lililoko kwenye account yako ili usiliwe hela yako. na utapata ujumbe kutoka vodacomm wenye kusomeka hivi: Sorry, you do not have enough money in your M-Pesa account to send tsh 10000000 to Andrew Mwakipesile Your M-Pesa ballance is Tsh9,345.
usitume kiwangoa ambacho unacho maana kitakwenda. Tuma hela iliyozini account yako ya M-Pesa.
sometime matapeli watakupigia wakitaka kukutapeli. kama amesajiliwa utamjua Jina na kama ukiona jina halitokei ujue huyo kanunua number mpya na ni tapeli.
Mimi nina simu ya voda halafu nikakuta number ya simu inanisumbua sana na ni ya mtandao wa vodacom lakini sijui ni nani kapiga au anaenisumbua na hiyo number. ok its verry simple.
Mfano number hii inakusumbua +25575444443 basi tuma hela kwa njia ya mpesa kwenye hiyo number. hakikisha unatuma hela ambayo imezidi salio lililoko kwenye account yako ili usiliwe hela yako. na utapata ujumbe kutoka vodacomm wenye kusomeka hivi: Sorry, you do not have enough money in your M-Pesa account to send tsh 10000000 to Andrew Mwakipesile Your M-Pesa ballance is Tsh9,345.
usitume kiwangoa ambacho unacho maana kitakwenda. Tuma hela iliyozini account yako ya M-Pesa.
sometime matapeli watakupigia wakitaka kukutapeli. kama amesajiliwa utamjua Jina na kama ukiona jina halitokei ujue huyo kanunua number mpya na ni tapeli.