Bryson Mbeula
Member
- Sep 25, 2011
- 46
- 4
Hongereni sana wakuu kwa hii movement...i can tell the power of reading books kwa watoto,coz huwa nashangaa sana kuna hadithi za dini baba alikuwa anatusomea(mimi na mdogo wangu) ni muda mrefu sana umepita lakini huwa sizisahau,lakini pia ilinijengea sana hurka ya kupenda kusoma vitabu mpaka sasa nipo chuo!!...when i get chance i ll be glad to join that movement..!