Nxt Millionaire
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 406
- 89
Natanguliza heshima zangu kwene nyooote,
Nimelazimika kuanza na swali kutokana na yaliyotokea katika thread niliyoanzisha jana ya HOW I MADE OVER 36,000/- US$ PER MONTH.
Miaka mingi sana nimekuwa mpenzi wa JF, tangu ikiitwa Jambo, nimekuwa nikiamini kuna MA GREAT THINKERS, lakini sasa nalazimika kujiuliza mara mbili mbili.
Mi nilidhani MA GREAT THINKERS badala ya kuifunga kwa amri ya mtu mmoja tu wangefanya utafiti kwa maelekezo simple kabisa yalokuwa kwenye thread ile na kuona je inawezakana, je ni scam, je kuna ukweli wowote?
Na ni rahisi sa kupata ukweli juu ya hili, japo kukubaliana nalo na kufanya maamuzi ya nini ufanye ni ya mtu binafsi.
Wapo walosema kwanini sikuweka kila kitu hapa, hii si rahisi, elimu ya mwaka mzima, imefupishwa sana na kuweza kutosha masaa kadhaa wawezaje kuipost hapa?
Mi nadhani si vyema MODS kuamua kwa ajili ya watu wengine, naamini humu sote ni watu wazima na kila mmoja ana maamuzi yake binafsi, na zaidi ya yote kuwa MASIKINI AU TAJIRI KUFANIKIWA AU KUTOFANIKIWA NI MAAMUZI BINAFSI TU.
Yoyote ambaye anahitaji kujua ninawezaje KUINGIZA ZAIDI YA MILLION 30 KWA MWEZI FUATA LINK HII, na yule anayezani haiwezekani alazimishwi.
Kujiunga jana au juzi si kigezo, nimejiunga ili tuinuane kiuchumi badala ya kupiga soga kutwa nzima, je mwajua kuwa kuna watu wanalipwa kwa kubonyeza keyboards tu? KARNE HII YA ICT HAKUNA LISILOWEZEKANA.
Naomba MODS msiamue kwa niaba ya wote.
Nimelazimika kuanza na swali kutokana na yaliyotokea katika thread niliyoanzisha jana ya HOW I MADE OVER 36,000/- US$ PER MONTH.
Miaka mingi sana nimekuwa mpenzi wa JF, tangu ikiitwa Jambo, nimekuwa nikiamini kuna MA GREAT THINKERS, lakini sasa nalazimika kujiuliza mara mbili mbili.
Mi nilidhani MA GREAT THINKERS badala ya kuifunga kwa amri ya mtu mmoja tu wangefanya utafiti kwa maelekezo simple kabisa yalokuwa kwenye thread ile na kuona je inawezakana, je ni scam, je kuna ukweli wowote?
Na ni rahisi sa kupata ukweli juu ya hili, japo kukubaliana nalo na kufanya maamuzi ya nini ufanye ni ya mtu binafsi.
Wapo walosema kwanini sikuweka kila kitu hapa, hii si rahisi, elimu ya mwaka mzima, imefupishwa sana na kuweza kutosha masaa kadhaa wawezaje kuipost hapa?
Mi nadhani si vyema MODS kuamua kwa ajili ya watu wengine, naamini humu sote ni watu wazima na kila mmoja ana maamuzi yake binafsi, na zaidi ya yote kuwa MASIKINI AU TAJIRI KUFANIKIWA AU KUTOFANIKIWA NI MAAMUZI BINAFSI TU.
Yoyote ambaye anahitaji kujua ninawezaje KUINGIZA ZAIDI YA MILLION 30 KWA MWEZI FUATA LINK HII, na yule anayezani haiwezekani alazimishwi.
Kujiunga jana au juzi si kigezo, nimejiunga ili tuinuane kiuchumi badala ya kupiga soga kutwa nzima, je mwajua kuwa kuna watu wanalipwa kwa kubonyeza keyboards tu? KARNE HII YA ICT HAKUNA LISILOWEZEKANA.
Naomba MODS msiamue kwa niaba ya wote.