ARDHI YOTE INGEPIMWA TZ TUNGEKUSANYA KODI YA KUTOSHA

mwamasangu

Member
May 12, 2017
36
28
Natamani hii nchi ingekuwa imepimwa asilimia 80 tu suala la kukusanya kodi za majengo viwanja n.k wangekusanya hela nyingi sana. Leo hii ardhi ya Tanzania haijapimwa....

Hivi hatuwezi kujiwekea malengo mwaka mzima kila halmashauri ikapima hii ardhi kutumia satellite or GPS technology

Natamani....waziri wa fedha na wa ardhi hebu komaeni na hili pesa ziko huku nyingi tu
 
Natamani hii nchi ingekuwa imepimwa asilimia 80 tu suala la kukusanya kodi za majengo viwanja n.k wangekusanya hela nyingi sana. Leo hii ardhi ya Tanzania haijapimwa....

Hivi hatuwezi kujiwekea malengo mwaka mzima kila halmashauri ikapima hii ardhi kutumia satellite or GPS technology

Natamani....waziri wa fedha na wa ardhi hebu komaeni na hili pesa ziko huku nyingi tu
Kweli mkuu unachokisema kwamba kama serikali ingejikita kupima ardhi yote TZ ingepata pesa nyingi. Nchi za wenzetu kama UK kila nyumba inalipa kitu kinaitwa council tax kila mwezi bila kukwepa. Hiyo inasaidia serikali kufanya vitu vingi sana. kama TZ tungeiga mifano yao basi serikali ingekuwa na pesa nyingi kwa ajili ya maendeleo ya kijamii, lakini nchi hii inaendeshwa pasipo na muelekeo. Sielewi kwanini viongozi hawajifunzi mifano ya nchi za magharibi katika ku-govern!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom