Mr Mayunga
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 313
- 40
Kampuni ya kizungu huko mjini Mbeya,imesaini mkataba na kijiji kiitwacho Siza kwa 392 mill,kwa ajili yakumiliki sehemu ya ardhi yenye dhahabu.Mkataba huo unatarajiwa kuisha 2020.
source;Star TV tuongee asubuhi, leo
Wanajamii forum hebu tuone viongozi wetu wanapotupeleka,alikuwepo mbunge wao Mh Philipo Mulugo,tena akifurahia.
Wizara ya Madini tunaomba Muende mkaliangalie hili!
Mnatumaliza watanzania.
source;Star TV tuongee asubuhi, leo
Wanajamii forum hebu tuone viongozi wetu wanapotupeleka,alikuwepo mbunge wao Mh Philipo Mulugo,tena akifurahia.
Wizara ya Madini tunaomba Muende mkaliangalie hili!
Mnatumaliza watanzania.