Janja PORI
JF-Expert Member
- Jul 31, 2011
- 825
- 245
Kwa waliofika Bagamoyo kama unaelekea Msata Kuna Dayosisi flani hapa dar imepewa hekari 400 na inauza kwa mtu mmoja mmoja washarika Pembeni mwa shamba hilo kuna Mwisraeli ana hectarz of Land Mh kizazi kijacho mna kazi. Yani Ekar sh laki 4 usawa huu