Ardhi ya urithi na dhana ya utajiri

ndayilagije

JF-Expert Member
Nov 7, 2016
7,492
8,294
Hamjambo?
Niende kwenye hoja moja kwa moja. Sote tunajua ardhi ni mali, kwa Tanzania ni mali ya serikali ingawa naamini zaidi kuwa ni mali ya aliyeiumba.

Kila kitu kinafanyika juu ya ardhi, kuishi, kulima, kufuga nk mwisho tunazikwa humo. Kinachonitatiza ni kuwa ingawa ardhi inapanda thamani kila siku ni mara chache sana kuona mtu ametajirika eti kwa kuuza ardhi.

Isipokuwa kama unauza kilichoko juu ya ardhi kama nyumba au mimea. Je kuna siri gani hapo? Tafadhali kama huna hoja usichangie.
 
Utatajirika wee mwisho wa siku unarudi mavumbini kwenye ardhi...

Ardhi ya urithi labda imewekewa matambiko mkuu ndio maana watu hawatajiriki
 
Utatajirika wee mwisho wa siku unarudi mavumbini kwenye ardhi...

Ardhi ya urithi labda imewekewa matambiko mkuu ndio maana watu hawatajiriki
Inawezekana ni hivyo au Mungu hakukusudia iuzwe. Kweli pesa unapata lakini sijui kwa nini hufanyii la maana,zaidi utawachukia tu uliowauzia pale wanapoiendeleza na kupata faida.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom