Iron Lady
JF-Expert Member
- Mar 4, 2008
- 4,071
- 1,374
Nimekuwa nikijiuliza hivi hii ardhi inayoachwa wazi hapa Tanzania ni kwa faida ya nani? Na hali watu wanakufa na njaa na uchumi wetu bado hauridhishi?
Ukiwa unatoka Dar-es-Salaam kwenda mikoani utakuta ardhi kubwa tu nzuri lakini ipo tupu. Nilipojaribu kuchunguza nikaambiwa eti hatuna teknolojia ya kuilima na hapohapo tunaletewa nyanya mbogamboga toka South Africa na matunda; Je, kweli serikali imeshindwa kuitumia ardhi yetu kwa maendeleo ya taifa letu ili at least tuondokane na njaa na kupungua bei ya vyakula.
Sisi sio wabunifu, mapesa yaliyoibiwa BOT na yale ya RICHMOND hayakuweza kuwekeza katika kilimo basi kwa kununua matrekta na kufanya kilimo cha kisasa mbona viongozi wetu sio wabunifu? Ila nawasifu kwa ubunifu wa kujilimbikizia mali na techniques za kifisadi. Watanzania wenzangu it's time to get up and be creative with the technology we have.And you future leaders, you need to be creative naona hawa waliopo wamechoka na hawataki kushaurika it is us who are going to change this nation.
Ukiwa unatoka Dar-es-Salaam kwenda mikoani utakuta ardhi kubwa tu nzuri lakini ipo tupu. Nilipojaribu kuchunguza nikaambiwa eti hatuna teknolojia ya kuilima na hapohapo tunaletewa nyanya mbogamboga toka South Africa na matunda; Je, kweli serikali imeshindwa kuitumia ardhi yetu kwa maendeleo ya taifa letu ili at least tuondokane na njaa na kupungua bei ya vyakula.
Sisi sio wabunifu, mapesa yaliyoibiwa BOT na yale ya RICHMOND hayakuweza kuwekeza katika kilimo basi kwa kununua matrekta na kufanya kilimo cha kisasa mbona viongozi wetu sio wabunifu? Ila nawasifu kwa ubunifu wa kujilimbikizia mali na techniques za kifisadi. Watanzania wenzangu it's time to get up and be creative with the technology we have.And you future leaders, you need to be creative naona hawa waliopo wamechoka na hawataki kushaurika it is us who are going to change this nation.