Ardhi University(ARU) - Special Thread

Naomba kuuliza kuhusu bachelor of land management inahusiana na nini na in employment mhusika anakuw anajishughulish na nn hasa piah na ada zake
Kozi inaitwa Land Management and Valuation(LMV) ni kozi ya miaka 4. inahusiana na uthamini wa ardhi na usimamiz wa ardhi
Ukimaliza unaweza kufanya kazi kama Land Valuer au Land Officer, vilevile ukitaka kuwa registered wana board yao inaitwa TIVEA
Unafanya kazi kwenye halmashaur, wilayani,wizarani pamoja na private company zinazohusiana na Valuation.
 
Kozi inaitwa Land Management and Valuation(LMV) ni kozi ya miaka 4. inahusiana na uthamini wa ardhi na usimamiz wa ardhi
Ukimaliza unaweza kufanya kazi kama Land Valuer au Land Officer, vilevile ukitaka kuwa registered wana board yao inaitwa TIVEA
Unafanya kazi kwenye halmashaur, wilayani,wizarani pamoja na private company zinazohusiana na Valuation.
Sorry mkuu naomb msaada juu ya koz inayoitwa bachelor of sciece in infrastructure planning and huosing inahusu nin na soko lake
 
Naomba kuuliza kuhusu bachelor of arts in community and development studies inahusiana na nini na in employment mhusika anakuwa anajishughulish na nn hasa piah na ada zake
 
Kozi inaitwa Land Management and Valuation(LMV) ni kozi ya miaka 4. inahusiana na uthamini wa ardhi na usimamiz wa ardhi
Ukimaliza unaweza kufanya kazi kama Land Valuer au Land Officer, vilevile ukitaka kuwa registered wana board yao inaitwa TIVEA
Unafanya kazi kwenye halmashaur, wilayani,wizarani pamoja na private company zinazohusiana na Valuation.
Naomba kuuliza kuhusu bachelor of arts in community and development studies inahusiana na nini na in employment mhusika anakuwa anajishughulish na nn hasa piah na ada zake
 
ardhi.jpg

HISTORY OF ARDHI UNIVERSITY


The Ardhi University (ARU) was established after transforming the former University College of Lands and Architectural Studies (UCLAS) which was then a constituent college of the University of Dar es Salaam from 1st July 1996. The history of Ardhi University, however, dates back to 1956 when then Surveying Training School offering land surveying technician certificate courses was established at the present location of Mgulani Salvation Army Camp in Dar es Salaam. Then, that school was moved to the present location at which it is today (the Observation Hill) in 1958.

In 1972, the school became called Ardhi Institute. The Institute offered two-year diploma programmes in the fields of Land Surveying and Land Management and Valuation. In the same year a three-year Diploma program in Urban and Rural Planning was introduced.

By the Act of the Parliament No. 35 of 1974, Ardhi Institute was made a parastatal organisation and consequently the duration of two-years was extended to three years. Later in 1975, all the three-year diploma programes were upgraded to Advanced Diploma level. The Building Design and Building Economics courses started in 1976 and 1978 respectively. In the 1979, the Centre for Housing Studies was established as a joint project between the Government of Tanzania and the Netherlands. The centre has now grown into the Institute of Human Settlement Studies (IHSS).

In early 1980s, the Public Health Engineering (later named Environmental Engineering) course was introduced.

As pointed out earlier, in 1996 the Ardhi Institute was affiliated to the University of Dar es Salaam and became a constituent college of the University. It then became known as the University College of Lands and Architectural Studies (UCLAS). Two legal instruments, namely, Government Notice (GN) Number 148 of June 29th, 1996 and University of Dar es Salaam (UDSM) Act No.12 of 1970 provided the basis for the establishment of UCLAS.

Within ten (10) years of its existence (i.e. 1996-2006) UCLAS increased the number of academic programmes from six (6) to thirty nine (39). The programmes ranging from diploma to PhD were offered by two faculties, that is, the Faculty of Architecture and Planning (FAP) and the Faculty of Lands and Environmental Engineering (FLEE).

As a result of those changes, student enrolment increased from only 400 in 1996 to about 1,400 in 2007. At the same time the number of academic staff with PhD increased from 3 in 1996 to 43 in 2008.

At last, Ardhi University came into being after the signing of Ardhi University Charter by His Excellency the President of United Republic of Tanzania, Hon. Jakaya Mrisho Kikwete on 28th March, 2007. The University Charter was prepared basing on the Universities Act No. 7 of 2005. The establishment of ARU went concurrently with the establishment of various schools.


PROGRAMS OFFERED BY ARDHI UNIVERSITY

There are different programs for Bachelor Degree, Postgraduate Diploma, Masters Degree and PHDs offered by Ardhi University under Six different schools and one Institute (for Postgraduate).

School of Architecture and Design (SADE)

  • Bachelor of Architecture (B. Arch)
  • Bachelor of Architecture in Landscape Architecture (B. Arch. LA)
  • Bachelor of Architecture in Interior Design (B. Arch. ID)
  • Postgraduate Diploma in Architecture (PGD-ARCH)
  • Masters of Architecture (M. Arch)
  • Doctor of Philosophy (PhD)
School of Construction Economics and Management (SCEM)
  • Bachelor of Science in Building Economics (B.Sc. BE)
  • Bachelor of Science in Civil Engineering (B. Sc. CE)
  • Postgraduate Diploma in Construction Economics and Management (PGD-CEM)
  • Master of Science in Construction Economics and Management (MSc-CEM)
School of Environment Science and Technology (SEST)
  • Bachelor of Science in Environmental Engineering (B.Sc. EE)
  • Bachelor of Science in Municipal and Industrial Services Engineering (B.Sc. MISE)
  • Bachelor of Science in Environmental Science and Management (B.Sc. ESM)
  • Bachelor of Science in Environmental Laboratory Science Technology (B.Sc. ELST)
  • Postgraduate Diploma in Environmental Technology and Management (PGD-ETM)
  • Master of Science in Environmental Technology and Management (MSc. ETM)
  • Master of Science in Disaster Risk Management (MSC.DRM)
  • Doctor of Philosophy (PhD)
School of Urban and Regional Planning (SURP)
  • Bachelor of Science in Urban and Regional Planning (B.Sc. URP)
  • Bachelor of Science in Housing and Infrastructure Planning (B. Sc. HIP)
  • Bachelor of Science in Regional Development Planning (B.Sc. RDP)
  • Bachelor of Arts in Economics (B.A. Economics)
  • Postgraduate Diploma in Urban Planning and Management (PGD-UPM)
  • Master of Science in Urban Planning and Management (MSc. UPM)
  • Master of Science in Urban and Regional Planning and Management (MSc. URPM)
  • Doctor of Philosophy (PhD)
School of Geospatial Sciences and Technology (SGST)
  • Diploma in Geoinformatics (GFM4)
  • Bachelor of Science in Geomatics (B. Sc. Gm)
  • Bachelor of Science in Geoinformatics (B.Sc. Gi)
  • Bachelor of Science in Geodetic Sciences (B.Sc. GS)
  • Bachelor of Science in Information Systems Management (B.Sc. ISM)
  • Postgraduate Diploma in Geomatics (PGD-Gm)
  • Master of Science in Geomatics (MSc. Gm)
  • Doctor of Philosophy (PhD)
School of Real Estates Studies (SRES)
  • Bachelor of Science in Land Management and Valuation (B.Sc. LMV)
  • Bachelor of Science in Real Estate (Finance and Investment) (B.Sc. REFI)
  • Bachelor of Science in Property and Facilities Management (B.Sc. PFM)
  • Bachelor of Science in Accounting and Finance (B.Sc. AF)
  • Postgraduate Diploma in Real Estate (PGD-RE)
  • Master of Science in Real Estate (MSc. RE)
  • Master of Science in Land Management (MSc. LM)

Institute of Human Settlement Studies (IHSS)

  • Post Graduate Diploma in Housing (PGD-Housing)
  • Master of Science in Housing (MSc. Housing)
Naomba kuuliza kuhusu bachelor of arts in community and development studies inahusiana na nini na in employment mhusika anakuwa anajishughulish na nn hasa piah na ada zake
 
I really need to a mentor in real estate investment.

Also naweza pata short course ya really estate investment.

Thanks
 
Naomba kuuliza ili mwanafunzi wa kidato cha sita anae soma combination ya egm kupata nafasi ya kusoma course ya art tecture anaitaji kupata division ngapi?
samahani ningependa kujua
 
Write your reply...wakuu vp upatikanaji vyumba vya kupanga maeneo karibu na ARU umbali wa kutembea kwa mguu dakika 30?
 
Degree zote za ARU, soko la ajira lipo na unaanza kula matunda ya degree yako hata kabla ya kuhitimu miaka yako 4 au 5 ya degree, unachopaswa kufahamu ni kwamba course za hapa ni za vitendo zaidi na kuwa uwajibikaji wako ndio utakaokuwezesha kujinadi katika hayo masoko ya ajira.
Hii ilikuwa miaka ya zamani mkuu
 
Mimi ni saveya, jamani masaveya tujifunzeni sheria za ardhi vizuri Kuna blanda nyingi Sana wanazifanya
 
Wakuu Nina shda Na mawasiliano ya lecture mmoja hivi halo ardhi anaitwa Dr didas s mwacha..department of building economics kwa kwenye nazo please
 
Habarini watu wa ardhi najua mnaweza nisaidie mawazo kwnye huu utata unaonizunguka Mimi na majirani zangu kuhusu urasimishaji wa ardhi.mimi na majirani zangu tulinunua viwanja vikiwa Bado havijapimwa na tuka Jenga wote ikatokea mmoja wetu kajenga ukuta. imekuja kampuni ya upimaji wanasema Yule mwenye ukuta hawezi kupimiwa barabara hivyo viwanja vyetu sisi wa upande wa pili ambao hatujajenga ukuta vimekatwa barabara hatua sita na kuwekwa bikon.sasa swali langu hv Hapo nafanyeje ili kupata haki yangu maana nimekatwa ubavuni Kuna barabara na mbele ya nyumba kunabarabara eti kukusaidia Yule aliyejenga ukuta kupata barabara ndo kiwanja changu kimekatwa barabara msaada wa kimawazo ndugu zangu mliosomea haya Mambo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini watu wa ardhi najua mnaweza nisaidie mawazo kwnye huu utata unaonizunguka Mimi na majirani zangu kuhusu urasimishaji wa ardhi.mimi na majirani zangu tulinunua viwanja vikiwa Bado havijapimwa na tuka Jenga wote ikatokea mmoja wetu kajenga ukuta. imekuja kampuni ya upimaji wanasema Yule mwenye ukuta hawezi kupimiwa barabara hivyo viwanja vyetu sisi wa upande wa pili ambao hatujajenga ukuta vimekatwa barabara hatua sita na kuwekwa bikon.sasa swali langu hv Hapo nafanyeje ili kupata haki yangu maana nimekatwa ubavuni Kuna barabara na mbele ya nyumba kunabarabara eti kukusaidia Yule aliyejenga ukuta kupata barabara ndo kiwanja changu kimekatwa barabara msaada wa kimawazo ndugu zangu mliosomea haya Mambo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kuna mtu ameendeleza hvyo tayar hv incured expenses..wewe ambae hujaendeleza ndy lazma uumie..kwa ufupi a value of land is valued once developed!! Though surveyors were to adjudicate pande zote ili mjue kwnn wewe unamegwa yule no...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau was ARU hivi kwa matokeo haya naweza soma Course ya Buildings economics,,

A_level
AdvMath-C
Economics -C
Geography-D

Na Olevel Physics nlipata F
 
Physics ya O Level hapo itakuangasha mkuu
Duh ,, wataka Niambia Physics wana Consider Sanaa??
Kwa mfano kwa wale ambao hawajasoma physics o level na advance wamesoma EGM nao pia hawawezi Soma hiyo course??
Ebu nifafanulie kiongozi
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom