mpinyo
Senior Member
- Aug 5, 2014
- 185
- 111
Kozi inaitwa Land Management and Valuation(LMV) ni kozi ya miaka 4. inahusiana na uthamini wa ardhi na usimamiz wa ardhiNaomba kuuliza kuhusu bachelor of land management inahusiana na nini na in employment mhusika anakuw anajishughulish na nn hasa piah na ada zake
Ukimaliza unaweza kufanya kazi kama Land Valuer au Land Officer, vilevile ukitaka kuwa registered wana board yao inaitwa TIVEA
Unafanya kazi kwenye halmashaur, wilayani,wizarani pamoja na private company zinazohusiana na Valuation.