Hata hao wawekezaji wanaopewa ardhi kwa bei ya kutupwa waangalie hali halisi ya jamii inayoizunguka.
Wawekezaji wasome alama za nyakati, wawekeze mabilion yao halafu muda mfupi ujao wataacha wakimbilie kwao. kukitulia watakuja kukuta kila kitu kimebadilika na hawana chao tena.
Wimbi la vijana kukosa ajira, uchumi kudorora, umasikini kuongezeka, idadi ya masikini kuongezeka tanzania ni hatari.
Viongozi wa serikali kugawa ardhi kwa wageni wa nje na kuwasahau watanzania ni bomu lililotegwa. Litalipuka muda wowote. Wapo viongozi wameweka hela nje ya nchi, sijui ndo watakimbilia huko? Ila sina imani sana na benki za nje, maana kikinuka huku, hata pesa zao hutaifishwa. Hawako salama sana, ni ujinga wao tu. Angalia Mobutu, Ben Ali tunisia, Misri, gadaffi na wengineo.
Hii ya vigogo kumiliki ardhi kubwa sana -kwa maefu (ref Budget ya wizara kivuli ya ardhi -Upinzani) na kuwanyima wananchi walio wengi ni hatari.
Pia sehemu nyeti za makazi na kuishi zinamilikiwa na vigogo kama Mwanza, Mbeya, Njiro, Burka, n.k
Nyumba za serikali wamepeana vigogo kwa bei ya kutupa, unakuta vigogo wanamiliki mpaka nyumba kumi.
haki hapo ipo kweli? Halafu tukisema tunaitwa wachochezi,
Wawekezaji wasome alama za nyakati, wawekeze mabilion yao halafu muda mfupi ujao wataacha wakimbilie kwao. kukitulia watakuja kukuta kila kitu kimebadilika na hawana chao tena.
Wimbi la vijana kukosa ajira, uchumi kudorora, umasikini kuongezeka, idadi ya masikini kuongezeka tanzania ni hatari.
Viongozi wa serikali kugawa ardhi kwa wageni wa nje na kuwasahau watanzania ni bomu lililotegwa. Litalipuka muda wowote. Wapo viongozi wameweka hela nje ya nchi, sijui ndo watakimbilia huko? Ila sina imani sana na benki za nje, maana kikinuka huku, hata pesa zao hutaifishwa. Hawako salama sana, ni ujinga wao tu. Angalia Mobutu, Ben Ali tunisia, Misri, gadaffi na wengineo.
Hii ya vigogo kumiliki ardhi kubwa sana -kwa maefu (ref Budget ya wizara kivuli ya ardhi -Upinzani) na kuwanyima wananchi walio wengi ni hatari.
Pia sehemu nyeti za makazi na kuishi zinamilikiwa na vigogo kama Mwanza, Mbeya, Njiro, Burka, n.k
Nyumba za serikali wamepeana vigogo kwa bei ya kutupa, unakuta vigogo wanamiliki mpaka nyumba kumi.
haki hapo ipo kweli? Halafu tukisema tunaitwa wachochezi,