sonashi
Member
- Jul 27, 2012
- 44
- 10
Mama Anna Tibaijuka, Mama wa makazi !!!
hebu fuatilia kwa undani kwelikweli uone watu wa ardhi wanavyokula rushwa.
je walitenda haki katika hili kweli ? ikiangaliwa kiundani kuna giza nene lililotanda katika eneo hili kwa sisi majirani tunasikitishwa sana. na bado biashara inafanyika eneo hili wakati bado kuna utata wewe ndiyo unaweza kutoa maamuzi ya mwisho kwenye suala hili.
Sielezei ni wapi kwa sababu wa JF wengi wanapajua.
Sheria inasemaje juu ya ardhi ?
hebu fuatilia kwa undani kwelikweli uone watu wa ardhi wanavyokula rushwa.
je walitenda haki katika hili kweli ? ikiangaliwa kiundani kuna giza nene lililotanda katika eneo hili kwa sisi majirani tunasikitishwa sana. na bado biashara inafanyika eneo hili wakati bado kuna utata wewe ndiyo unaweza kutoa maamuzi ya mwisho kwenye suala hili.
Sielezei ni wapi kwa sababu wa JF wengi wanapajua.
Sheria inasemaje juu ya ardhi ?