Archbishop Janan Luwuum and President Idd Amin Dada

English grammar kwa sisi wa St. Kayumba ni issue, ungiongezea tunaishi Uswazi ndio kabisa, nisamehe bure kwa my poor English ila naamini ujumbe wangu umekufikia loud and clear.

Kwenye uzi ule pia nimezungumzia karma, mbele ya karma, thamani ya roho ya mtu is equal regardless status yake katika jamii, hivyo pamoja na Dikiteta Iddi Amini Dada kumuua ARCHBISHOP Janani Jakaliya Luwum, lakini unaweza usiamini kumkuta Amini ameingia peponi kama karma ya uovu wake wote uliishafidiwa kwa kutimiliwa na wema alioufanya alipokuwa anaishi Saudi Arabia hadi mauti ilipomkuta, halafu unaweza usiamini utakao kutana nao Jehanum ya moto wa milele huku wengine ndio wakifanywa kuni!.

Toka day one nimesisitiza humu kuwa ni kweli homeboy wangu ni Dikiteta ila ni Dikiteta Mzalendo, a benevolent dictator, ukimuondoa JK aliyefanya wema kama ule kwa yale majizi ya epa, hakuna rais mwingine yoyote wa Tanzania amewahi kufanya wema mkubwa kama ule wa jana!.
Kiukweli kabisa atabarikiwa sana!. Wema kama huo na mwingine mwingi, unafuta dhambi zake nyingine zote hata kama ni yeye aliyeamrisha yale mambo yale ya kumpoteza yule dogo wetu humu au lile shambulio. Mizani ya mbinguni na peponi ni kiwango cha mema compared na mabaya, mema yakizidi tuu hata kwa nukta moja ni fasta peponi!. Wata watakuja kuwa very surprised kumkuta Osama, Saadam na Ghadafi peponi halafu Bush, Blair na Obama motoni!.
Karudie kusoma tena na tena kuhusu Karma.
P
Wema gani?mayala mbona kama hujielewi,kwani sheria alitunga nan namahakama zenu na kanuni sibungelenu laccm?walishawambia kwann hamtaki kumpeleleza kwanza ndipo mkamate MTU,muwatese wenyewe ,tena urudi useme unawaonea huruma!!!!hapa ndipo tunapishana sana.... Hivi viini macho kwasasa havina nafasi.tatizo mtengeneze wenyewe harafu mtuzunguke huruma.
 
Kuna ushahidi usio na shaka kuwa Iddi Amin aliagiza huyo mtu auawe au ni western media pamoja na wasiompenda Amin kumchafulia jina tu kwa sababu alizingua maslahi yao?
 
Hiyo barua ya Maaskofu imeanza kuniaminisha kuwa huenda chuki ya Nyerere kwa Amin pamoja na mambo mengine ilikuwa na component za Kidini pia.

Kwenye hiyo barua maaskofu wanamlaumu Amin kuwa serikali yake inapendelea "Waislamu"

Tukirudi kwenye Pattern za utawala wa Nyerere, tunagundua kuwa Nyerere mkatoliki miaka nyuma kabla ya vita vya Kagera anaamua kuliunga mkono jimbo la Wakiristo wakatoliki wenzie wa Biafra lijitenge kutoka nchi ya Nigeria kwa madai kuwa Serikali ya Nigeria ambayo wakati huo ilikuwa ikiongozwa na waislamu wengi kuwanyanyasa!

Lakini kabla hatujakaa sawa kuna movement inayoongozwa na kanisa Katoliki huko Uganda kumfanya Nyerere "Mtakatifu" na Museveni anapigia chapuo atangazwe mtakatifu!

Ukiacha Geopolitics Nyerere alikuwa too loyal kwa kanisa lake Katoliki na alilifanyia kazi nzuri sana Tanganyika na Tanzania kwa mbinu na usiri wa hali ya juu bila kuacha traces za kubackfire!
 
Hiyo barua ya Maaskofu imeanza kuniaminisha kuwa huenda chuki ya Nyerere kwa Amin pamoja na mambo mengine ilikuwa na component za Kidini pia.

Kwenye hiyo barua maaskofu wanamlaumu Amin kuwa serikali yake inapendelea "Waislamu"

Tukirudi kwenye Pattern za utawala wa Nyerere, tunagundua kuwa Nyerere mkatoliki miaka nyuma kabla ya vita vya Kagera anaamua kuliunga mkono jimbo la Wakiristo wakatoliki wenzie wa Biafra lijitenge kutoka nchi ya Nigeria kwa madai kuwa Serikali ya Nigeria ambayo wakati huo ilikuwa ikiongozwa na waislamu wengi kuwanyanyasa!

Lakini kabla hatujakaa sawa kuna movement inayoongozwa na kanisa Katoliki huko Uganda kumfanya Nyerere "Mtakatifu" na Museveni anapigia chapuo atangazwe mtakatifu!

Ukiacha Geopolitics Nyerere alikuwa too loyal kwa kanisa lake Katoliki na alilifanyia kazi nzuri sana Tanganyika na Tanzania kwa mbinu na usiri wa hali ya juu bila kuacha traces za kubackfire!
Idd Amin pia alikuwa loyal kwa dini yake. Kabla ya Amin kuingia madarakani Uislam ulikuwa 5% ya population. Utawala wa Amin karibu Magenerali wote wa jeshi walikuwa watu wa dini na kabila lake.

Ninakumbuka usemi wake mmoja alisema Mwarabu akikupa msaada ni kama sadaka lakini Mzungu akikupa msaada atataka kitu kwako na unaweza kulipa mara mbili. Hapa ni wakati ameanza kuwategemea Waarabu kwa misaada.

Baada ya jaribio la kumpindua mwaka 1972 kushindwa , Amini aliwaua wanajeshi wa Kabila la Obote kama kuku.

Kumsafisha Amini na kasha’s ya mateso na mauwaji ni ngumu sana mkuu ila ana mazuri yake ingawa mabaya yalikuwa mabaya mno kizazi cha kufunika kabisa mazuri yake.
 
Idd Amin pia alikuwa loyal kwa dini yake. Kabla ya Amin kuingia madarakani Uislam ulikuwa 5% ya population. Utawala wa Amin karibu Magenerali wote wa jeshi walikuwa watu wa dini na kabila lake.

Ninakumbuka usemi wake mmoja alisema Mwarabu akikupa msaada ni kama sadaka lakini Mzungu akikupa msaada atataka kitu kwako na unaweza kulipa mara mbili. Hapa ni wakati ameanza kuwategemea Waarabu kwa misaada.

Baada ya jaribio la kumpindua mwaka 1972 kushindwa , Amini aliwaua wanajeshi wa Kabila la Obote kama kuku.

Kumsafisha Amini na kasha’s ya mateso na mauwaji ni ngumu sana mkuu ila ana mazuri yake ingawa mabaya yalikuwa mabaya mno kizazi cha kufunika kabisa mazuri yake.

Sasa kama askari wanashiriki kutaka kupindua serikali adhabu yao nini?

Uhaini salama yake mfanikiwe kushika dola, mkishindwa risasi ni halali yenu!

ulichosema kuhusu Amin kupenda dini yake ndo exactly nilichokuwa nakizungumza mimi, kuwa huenda Mkatoliki Nyerere hakupendezwa kabisa na Islamization of Uganda!

Uganda siku zote imekuwa nchi ya Kikabila, Obote alipendelea kabila lake, na leo Museveni the same
 
Back
Top Bottom