Arch Angel Michael

Wakili

JF-Expert Member
Jun 19, 2017
529
644
The Elites who runs this system they are all under darkforces, The Rockafellas, Bush,Rothschild, CIA etc
We have to wake up realise we are the sheep, meditate, rise our vibration that we can reach to a 5D dimension which they won't have a chance no more. Wake up
FB_IMG_16054267616148822.jpg
 
Tupe mwanga Zaidi namna ya kufika 5D ukitoa meditation...?
Meditation is the only key, to rise vibrations and your intuition. It's where you will hear your Spirit guides and Ancestors message to you. Mambo mengine Kama vegan diet hufuata baada ya meditation.
 
Katika mambo ambayo huwa napenda niyaelewe ni haya! Lakini kwa bahati mbaya sijawahi kueleweshwa....
 
With tremendous ambition everything is possible. Kuelewa na kutokuelewa kupo defined na utayaliwako wewe. It's simple to Unlock your Vast Spiritual gateway cha Muhimu kuzingatia ni je unafungua hiyi Gateway yako kea back Up ya nani? Wengi hapa ndio hukosea mwisho wanaelekezana mpaka jins ya kuuacha mwili na kutumia Astral body. Kitu hiki kinakua BackUped na Dark Dimension tu
Sasa hapa ndio umetuelewesha au umezidi kutuchanganya tuuuu!!!!
 
Sisi hapa tunashangaa shangaa tu
Nliwai sikia haya mambo ukikosea hurudi

Ni kama vile yule aliye root simu yake akaharibu kila kitu

Nasikia unabaki kuuona mwili wako lakini huwezi ingia maana umetingishika :D :D :D :D . na kwamba hakikisha umefunga milango,mtu akiingia akakutingisha ni kosa
Haya mambo ya kufikirika sidhani kama kuna anayeweza kuelezea tukamwelewa
 
Back
Top Bottom