Mandown
JF-Expert Member
- Apr 8, 2012
- 1,665
- 503
Hii ni kweli,
Mwalimu alikua akifundisha sentensi za kiarabu kwa mara ya kwanza kwa wanafunzi wapia, mambo yalikuwa hivi
Mwalimu alikua akifundisha sentensi za kiarabu kwa mara ya kwanza kwa wanafunzi wapia, mambo yalikuwa hivi
- Mwalimu: Lugha ya kiarabu haina herufi "O" au "V", mara nyingi majina yenye herufi "O", huwa wanaweka harufi "U".
- Wanafunzi: Ndio mwalimu
- Mwalimu: kwamfano neno NDOA litakua NDUA
- Mwanafunzi: Je mwalimu kuna mwanafunzi mwenzetu anaitwa KONDO tutamuitaje
- Mwalimu: atakua anaitwa KUND...,