Arabi Nanjewa
JF-Expert Member
- Sep 22, 2017
- 325
- 410
Ndugu wanabodi naomba kufahamishwa zaidi jinsi ya kufanya kazi ya mtandao hasa kufungua website yangu (blog).je ni kivipi naweza fungua. Namna ya kuiendesha na kuifanyia matangazo. Na kwa namna ipi inalipa na je wamiliki wa blogs wanalipa kodi?? Ili ukizi vigezo vya kodi unatakiwa iweje.
Nawasilisha
Nawasilisha