manenemane
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 289
- 255
View attachment 1081438
Naona wana JF wengi mko kimya lakini juzi mkandarasi Arab Contractors kalipwa na serikali ya Tanzania, malipo ya awali Tshs 688bilioni.
Haya ni malipo makubwa zaidi kuwahi kutokea tangu nchi hii ipate uhuru.
Kwa kifupi sasa tuna uhakika kuwa mradi wa ujenzi wa mradi wa umeme wa stieglers Gorge ndio unaanza kwa uhakika.
Myonge myongeni haki yake mpeni, hongera mh. Magufuli