Mkuu GENTAMYCINE ataweka humu kila kitu. Tuwe na subira
Huna lolote ccmmm imeshinda kwa wizi kila mtu anslijua hilo... lowasa kawatoa kamasi vibaya sana...hapa unaleta maneno ili kujustify wizi wenu... kama taarifa zote milikua nazo vyombo vya ulinzi vilifanya nn!?? Ww unafurahi lowasa kukosa urais sababu uliempenda.. meembe alikosa.. hamna zaidi ya hilo... wizi umejionyesha wazi wazi..hata yaliyotokea zanziba yanathibisha wizi wenu ulio kubuhu
Huna lolote ccmmm imeshinda kwa wizi kila mtu anslijua hilo... lowasa kawatoa kamasi vibaya sana...hapa unaleta maneno ili kujustify wizi wenu... kama taarifa zote milikua nazo vyombo vya ulinzi vilifanya nn!?? Ww unafurahi lowasa kukosa urais sababu uliempenda.. meembe alikosa.. hamna zaidi ya hilo... wizi umejionyesha wazi wazi..hata yaliyotokea zanziba yanathibisha wizi wenu ulio kubuhu
Marhana mkuu GENTAMYCINE. ​ Tulikuwa pamoja kwenye haya mapambano
We nyumbu kweli! kama ccm ingekuwa ina uwezo wa kuiba kura mawaziri wake 5 wangepigwa chini!? Na mbona huko Moshi/Arusha ambako Lowasa kapata kura zake mnazikubali? we hujui mlipokosea ni pale mlipomkaribisha fisadi kuwa mgombea. Tena ashukuru hata kupata kura hizo maana watu walikuwa wanasema kabisa wakiwa katika foleni kuwa urais watampigia Magufuli na wabunge na madiwani wataamua wenyewe. Huo ndio ukweli Lowasa jamani haaminiki hata na wapiga kura wa ukawa! ukweli ndio huo acha kudai mmeibiwa. Mmeibiwaje?
Mapambano ambayo hata hivyo mumeshindwa kama si kuiba tu,aibu kwenu na baba zenu waliobambikiwa watoto nyinyi
Lizaboni nigeshangaa sana kama hungemtukana Apson safari hii kama ilivyo kawaida yako!!!Mkuu, kwa upande wako unaona Apson alikuwa sahihi kuhonga wajumbe wa NEC, CC na MM ili tu Lowasa awe Rais? Pia unaona kuwa Apson alikuwa sahihi kuajiri vijana wa IT ili wahack mfumo wa Tume?
Mkuu, kwa upande wako unaona Apson alikuwa sahihi kuhonga wajumbe wa NEC, CC na MM ili tu Lowasa awe Rais? Pia unaona kuwa Apson alikuwa sahihi kuajiri vijana wa IT ili wahack mfumo wa Tume?
We nyumbu kweli! kama ccm ingekuwa ina uwezo wa kuiba kura mawaziri wake 5 wangepigwa chini!? Na mbona huko Moshi/Arusha ambako Lowasa kapata kura zake mnazikubali? we hujui mlipokosea ni pale mlipomkaribisha fisadi kuwa mgombea. Tena ashukuru hata kupata kura hizo maana watu walikuwa wanasema kabisa wakiwa katika foleni kuwa urais watampigia Magufuli na wabunge na madiwani wataamua wenyewe. Huo ndio ukweli Lowasa jamani haaminiki hata na wapiga kura wa ukawa! ukweli ndio huo acha kudai mmeibiwa. Mmeibiwaje?