Elections 2015 Apson Mwang'onda afanya vikao vya kuchangisha fedha Oysterbay ili Lowasa ahamie CHADEMA

Ndio kazi iliyobaki, il I ushinde siasa lazima uwe na ralimali fedha. Huwezi kupigana vita bila Pesa na ukashinda. A cha watafute pesa
 
Lizaboni Mamvi au Mapadlock amekulipa ngapi kwa kupotosha watu?Najua mnatafuta kura lakini siyo kwa kuharibu taswira ya vyama vya upinzani kwa sababu ya vijisenti vidogo unavyopew.Bila CCM/Lowassa Tanzania inawezekana.

Huyo Magufuli hana tofauti na huyo Lowassa .Watoto wa mama mmoja baba mmoja.Na amesema fika atalinda maslahi ya watawala waliopita na CCM hajasema atalinda maslahi ya Taifa lake.Kwa uhakika hata wewe wajua hatufai.

Tunahitaji Rais nje ya CCM huyo Lowassa mtafutieni nafasi ACT alikokafibishwa.
 
Lizaboni Mamvi au Mapadlock amekulipa ngapi kwa kupotosha watu?Najua mnatafuta kura lakini siyo kwa kuharibu taswira ya vyama vya upinzani kwa sababu ya vijisenti vidogo unavyopew.Bila CCM/Lowassa Tanzania inawezekana.

Huyo Magufuli hana tofauti na huyo Lowassa .Watoto wa mama mmoja baba mmoja.Na amesema fika atalinda maslahi ya watawala waliopita na CCM hajasema atalinda maslahi ya Taifa lake.Kwa uhakika hata wewe wajua hatufai.

Tunahitaji Rais nje ya CCM huyo Lowassa mtafutieni nafasi ACT alikokafibishwa.
Vipi Kamanda, hii thread unaisemaje kwa hali ya sasa?
 
Lizaboni Mamvi au Mapadlock amekulipa ngapi kwa kupotosha watu?Najua mnatafuta kura lakini siyo kwa kuharibu taswira ya vyama vya upinzani kwa sababu ya vijisenti vidogo unavyopew.Bila CCM/Lowassa Tanzania inawezekana.

Huyo Magufuli hana tofauti na huyo Lowassa .Watoto wa mama mmoja baba mmoja.Na amesema fika atalinda maslahi ya watawala waliopita na CCM hajasema atalinda maslahi ya Taifa lake.Kwa uhakika hata wewe wajua hatufai.

Tunahitaji Rais nje ya CCM huyo Lowassa mtafutieni nafasi ACT alikokafibishwa.
hahahahahahahhahahhhah uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Back
Top Bottom