Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,372
- Thread starter
- #161
Hahahahahahahaaaaaaa! Kwenye siasa kila kitu kinawezekanaHuu ni wakati wa kusikia mambo mengi sana ila mwisho wa siku hakuna jipya litakalotokea maana kama Lowassa kapigwa chini huko kwenye chama cha aistegemee kutoka kwenye muungano wa vyama hivi vinne labda amtafute ZZK na chama chake ACT.