Tehetehetehetehe. Thubutu! Lowasa hana uwezo wa kwenda huko. Anataka hivi vyama ambavyo watu wametoa jasho lao kuvijenga then yeye ajitutumue kuwa ni maarufuSi mnasema kuwa EL ni kipenzi cha watu sasa si akagombee uraisi hata kupitia Jahazi Asilia!
Dah! Kaka, vipi tenaa. Mbona unatokwa sana na mapovu? Kwani hujui hata hao chadema ni mafisadi? Fisadi hawezi kwenda kwingine ila kwa fisadi mwenzakeLizaboni usidhani upo salama kwa huu upuuzi unaoleta humu,ukidakwa usilaumu mtu,mmeshamka inatosha mwacheni na yeye ajiokoe
Mkuu, hata nilipoweka habari kama hizi hapo awali mlibeza ila mwisho wake mkanipigia saluti
sidhani kama CDM watakua that cheap
Wapo wenye kazi ya kupambana na magaidi. Ila mie sina majukumu hayo. Nipo huku Songea nalima magimbiLizaboni
Hizi nguvu mngetumia kuwakamata magaidi walioua ndugu zetu staki Shari,nyie na magamba mwenzenu mnawaza kujaza matumbo yenu na kwenda kumwaga kinyesi chenu feri,acheni us....alshabaab wanataliza huku
Wapo wenye kazi ya kupambana na magaidi. Ila mie sina majukumu hayo. Nipo huku Songea nalima magimbi