aleesha
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 776
- 1,121
" DAY OF LOSS"
---SIKU YA HASARA---
1) Tarehe 26/4/1964 ndio siku ambayo Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ikiuwawawa ( state death).
2. Tarehe 26/4/1964 ndio siku ambayo wazanzibar walipoteza mamlaka ( sovereignty) ya nchi yao.
3).Tarehe 26/4/1964 ndio siku ambayo Wazanzibar walipoteza uraia ( citizenship) wao wa Zanzibar.
4). Tarehe 26/4/1964 ndio siku ambayo Rais wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar alikoma ( cease) kuwa Amiri Jeshi Mkuu.
5) Tarehe 26/4/1964 ndio siku ambayo Wanzanzibar walipoteza kiti chao Umoja wa MATAIFA.
--ZANZIBAR IMETOKA KUWA DOLA HADI KUWA MKOA--
-- UZANZIBAR UMETOKA KATIKA HADHI YA URAIA HADI KUWA UKAAZI ( Raia wa Zanzibar hadi Mzanzibari mkaazi)
--Kutoka Amiri Jeshi Mkuu hadi Kamanda Mkuu wa Idara maalumu--
-- Kutoka Rais wa Dola ya Zanzibar hadi Waziri asiye na Wizara maalumu--
--ZANZIBAR kutoka mwanachama wa Umoja wa Mataifa kukataliwa kujiunga na FIFA
TAREHE 24/4/1964 ni SIKU YA HASARA (DAY OF LOSS) KWA WAZANZIBAR
HAKUNA KITU CHOCHOTE DUNIANI KINACHOWEZA KUFIDIA WAZANZIBAR KUPOTEZA UTAIFA WAO WA ZANZIBAR
HAKUNA KITU CHOCHOTE DUNIANI KINACHOCHEZA KUFIDIA WAZANZIBAR KUPOTEZA DOLA YAO JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR
HAKUNA KITU CHOCHOTE DUNIANI KINACHOWEZA KUFIDIA WAZANZIBAR KUPOTEZA URAIA WAO WA ZANZIBAR
HAKUNA KITU CHOCHOTE DUNIANI KINACHOWEZA KUFIDIA WAZANZIBAR KUPOTEZA UTAMBULISHO WA DOLA YAO
HAKUNA KITU CHOCHOTE DUNIANI KILICHOWEZA--KINACHOWEZA AU KITAKACHOWEZA KUFIDIA HASARA WALIYOIPATA WAZANZIBAR TAREHE 26/4/1964
SIKU YA MAOMBOLEZI
---SIKU YA HASARA---
1) Tarehe 26/4/1964 ndio siku ambayo Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ikiuwawawa ( state death).
2. Tarehe 26/4/1964 ndio siku ambayo wazanzibar walipoteza mamlaka ( sovereignty) ya nchi yao.
3).Tarehe 26/4/1964 ndio siku ambayo Wazanzibar walipoteza uraia ( citizenship) wao wa Zanzibar.
4). Tarehe 26/4/1964 ndio siku ambayo Rais wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar alikoma ( cease) kuwa Amiri Jeshi Mkuu.
5) Tarehe 26/4/1964 ndio siku ambayo Wanzanzibar walipoteza kiti chao Umoja wa MATAIFA.
--ZANZIBAR IMETOKA KUWA DOLA HADI KUWA MKOA--
-- UZANZIBAR UMETOKA KATIKA HADHI YA URAIA HADI KUWA UKAAZI ( Raia wa Zanzibar hadi Mzanzibari mkaazi)
--Kutoka Amiri Jeshi Mkuu hadi Kamanda Mkuu wa Idara maalumu--
-- Kutoka Rais wa Dola ya Zanzibar hadi Waziri asiye na Wizara maalumu--
--ZANZIBAR kutoka mwanachama wa Umoja wa Mataifa kukataliwa kujiunga na FIFA
TAREHE 24/4/1964 ni SIKU YA HASARA (DAY OF LOSS) KWA WAZANZIBAR
HAKUNA KITU CHOCHOTE DUNIANI KINACHOWEZA KUFIDIA WAZANZIBAR KUPOTEZA UTAIFA WAO WA ZANZIBAR
HAKUNA KITU CHOCHOTE DUNIANI KINACHOCHEZA KUFIDIA WAZANZIBAR KUPOTEZA DOLA YAO JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR
HAKUNA KITU CHOCHOTE DUNIANI KINACHOWEZA KUFIDIA WAZANZIBAR KUPOTEZA URAIA WAO WA ZANZIBAR
HAKUNA KITU CHOCHOTE DUNIANI KINACHOWEZA KUFIDIA WAZANZIBAR KUPOTEZA UTAMBULISHO WA DOLA YAO
HAKUNA KITU CHOCHOTE DUNIANI KILICHOWEZA--KINACHOWEZA AU KITAKACHOWEZA KUFIDIA HASARA WALIYOIPATA WAZANZIBAR TAREHE 26/4/1964
SIKU YA MAOMBOLEZI