April '09 Bomb Blasts in Dar (Mbagala) and responses

Wakazi wa mbagal wenyewe wameshazoea mabumu hayo kulipuka mara kwa mara. hata hawana wasi wasi waishatangulia Kilwa na Lindi. Kazi kwenu mlioko Posta na Kariakoo kwingineko
 
Hapa lazima watu wawajibike haraka sana kuanzia waziri, naibu wake, mkuu wa majeshi, mkuu wa base ya mbagala na askari wote wa kituo hicho. Inatia hasira kwa uzembe huu uliotokea na kugharimu maisha ya watu, mali zao nk. Hivi JK upo wapi? mbona hutangazi hali ya hatari?

Hatutaki kusikia eti mnaunda tume kuchunguza mlipuko huu zaidi ya kuwawajibisha wote waliohusika. Wadanganyika tumechoka na ubabaishaji! na tume zisizoisha. Mheshimiwa JK angalia au iga wakubwa wenzio wanavyo-act immeadiatealy pindi janga kubwa linapotokea.

Angalia mfanao wa swine flu ilipotokea tu UK, USA na kwingineko wakuu wa nchi hizo haraka sana walienda kwenye media na kuelimisha umma. Huu sio wakati wa akina Nchimbi kuongea kwenye media zaidi ya kujiuzulu na kutoa maelezo kwa wadanganyika.

JK yuko wapi? lol yupo busy na marafiki zake wanaangalia what next
 
Hivi Tz tutaishia wapi? really tunaelekea kubaya saaana. Angalia kwanza tupo kwenye economic recession, baa la njaa, rushwa iliyokithiri, ubabaishaji, matumizi mabaya ya mali na fedha za serikali, nk Poleni sana wana mbagala. j
 
Mkuu wa nchi angerudi akaoengee na wananchi kuhusu tukio na kuwatuliza


AKAONGEE NA WANANCHI?............kwani ndo waliomweka kwenye power?labda angepatwa maafa hayo nanihii( R.......),AU wale makuchi kuchi.sisi wananchi tulikwishapata thawabu yetu!usiniambie kwamba hukuvaa zile t-shirt,au kanga,au skafu.
 
Huge blasts rock Tanzanian city
BBC News Online

An ammunition dump on the outskirts of the Tanzanian city of Dar es Salaam has exploded, causing a huge fire, panic and the ordering of a mass evacuation.

Kenyan television reports say several people have been killed and a police commander confirmed at least one death from the blasts at a Mbagala army base.

Shockwaves from the explosions were felt throughout Dar es Salaam.

The authorities have advised workers around the city to vacate their offices, warning of further explosions.

Officials said the army planned to set off another huge blast in an effort to contain the continuing smaller explosions.

'Raining fire'

Several houses in the Mbagala area caught fire from raining debris and at least one person has died, said regional police commander Suleiman Kova.

Fires are still burning after the explosions, which lasted for about two hours.

Our correspondent in Dar es Salaam, John Ngahyoma, says the blast caused a tremor which was felt at the BBC's offices in the city centre near the harbour.

Deputy Minister for Defence and Security Emmanuel Nchimbi has cautioned residents to stay away from the area and to vacate all tall buildings.

Speaking at the airport in the capital Dodoma, he said he would hold a news conference as soon as he arrived in Dar es Salaam.
 
Duh....huku mkoani watuwanazungumza tumevamia....roho juu.....embu tupeni habari kamili watu wa Dar ,watu tuanze kuingia Uganda !
 
Foleni ya kufa mtu katikati ya jiji gari zinakwenda extreme slow, sasa hata likilipuka hilo kubwa sijui itakuaje
 
Nimebahatika kumsikiliza Dk Slaa kidogo akifanya winding up ya mjadala kwa upande wa Local Govt. Aisee kumbe wana kazi kubwa safari inaelekea waliingia mpaka kwenye matundu ya panya kuwasaka wezi. Congaratulations!!!

Badala ya majority of us kupiga porojo za EPA n.k tungejizatiti kuwabana watendaji wa LGs kama wafanyavyo akina Dk Slaa nchi ingepiga hatua kwa sababu siku hizi wanapelekewa fedha nyingi sana. Alitaja sehemu moja Moro walitembelea na kuambia mradi wa maji umejengwa kilamita 7 kumbe umeishia kwenye kona tu.

Na wataalamu huko wamebuni mkakati mpya wakipoke fedha nao wanahamisha kuzipelka vijijini zote ili kukwepa ukaguzi hivyo vitabu vyao vinaread O expenditure. Kiasi walichopokea ndicho walichohamisha na ndio kilichotumika.

kweli ipo kazi nzito
 
TzPride kazi ya kuhamisha watu Mbagala bado inaendelea wanadai njia pekee ya kuzuia mabomu zaidi ni kuyaacha hayo yote yalipuke. So watu wanatakiwa kukaa mbali hadi watakapopewa taarifa zaidi.
 

BBC News Online

An ammunition dump on the outskirts of the Tanzanian city of Dar es Salaam has exploded, causing a huge fire, panic and the ordering of a mass evacuation.

Kenyan television reports say several people have been killed and a police commander confirmed at least one death from the blasts at a Mbagala army base.

Kenyan television! hawa wakoloni nao .....habari zetu mpaka watoe kwa vibaraka wao!
 
Nasikitika kwa yaliyotokea, familia yangu imekimbilia Mkuranga, wanaogopa kurudi. Kwa wale waliokwenye tukio kukiwa na usalama njulishe nipate kuwashauri warudi. Mimi niko Mtwara sasa, JF ndio chanzo changu cha habari kwa sasa.
Najiunga nawe katika kumshukuru Mungu kwa familia yako kusalimika.
 
Back
Top Bottom