Apps zingine utumika kudukua mawasiliano?

Eraldius

JF-Expert Member
Jun 17, 2011
1,120
906
Wadau tushirikishane mawazo katika hili. Nimekutana nalo katika matumizi ya App moja ikaweza kunionesha matumizi ya kila Application niliyoinstall katika simu yangu na ikaweza kunionyesha kila moja na shughuli yake. Sasa lakushangaza App moja pendwa ikaonekana ndiyo inatumika na udukuzi. Sasa isijekuwa hii nayo pengine inajitafutia umaarufu kwa kunionyesha vitu vya uhongo.

Mawazo yenu wa ndugu.
Screenshot_2016-12-30-05-45-18.png
 
Unapo-install Application nyingi huwa zinaku-prompt uziruhusu ku-access vitu kadhaa kwenye simu yako mfano Phonebook, Call log na SMS.

Wajuzi wa mambo wanasema:
"many apps 'want access to information they probably shouldn't,' and the fact that a given app has access to data doesn't necessarily mean the app is actually stealing that data and transmitting it to international cybercriminals.

It may be the case, though, that you're paying for your "free" app by unwittingly allowing your personal data to be shared with marketers"
 
Aisee ni kweli maana kuna apps moja huwa naitumia kuprotect cm
Sasa hii apps inaimaindi apps yangu moja hivi kinoma noma kila baada ya muda inanipa taarifa "hack tools" halafu inanishinikiza nii uninstall. tena nyingine nayo naambiwa "malicious behavior."
 
Back
Top Bottom