Naomba msaada kwa yeyote anaye jua nawezaje kupata apps za hiyo samsung, apps kama Skype, adobe reader, office na zinginezo. Browser nimefanikiwa kuinstall UC Browserna inafanya kazi vizuri.
Asante Hippo, nimejaribu several times sijafanikiwa, niliambiwa nilog in nikafanya hivyo lakini bado sijafanikiwa. Nikijaribu kudownload kwa kutumia computa naambiwa
, "You haven't accessed the Google Play Store app on your device with this email account." wakati kule nimeshatumia email hiyo hiyo bila mafanikio. Ninachofikiri baada ya kusoma soma ni kuwa sababu huenda ikawa ni hii simu yangu ambayo haina google play store app pre-installed. Mwenye msaada zaidi anaweza kunisaidia.
Account ninayo, ngoja niendelee kujaribu
Mkuu, unatakiwa uwe na account(e-mail account ya gmail)..iko in one of your apps katika simu, if hauna jaribu kufungua kwa kutumia means nyingine then log in, sometimes unaweza kuchangaya password mkuu, check hiyo pia.Account ninayo, ngoja niendelee kujaribu
natumia Galaxy s2 na hizo apps zote ulizotaja ninazo na zaidi,nilichofanya ni kusign in kupitia account yangu ya gmail then kuendelea kudownload kama kawa.labda ungetuambia unapewa error gani wakati ukitaka kudownload. ukiona inasumbua zaidi badilisha sytem weka nyingine(upgrade that one)
Other old versions of droids hiyo apps store yake ilikuwa inaitwa MARKET..ukishaitumia once ndiyo inabadilika kuwa Google Play or Play Store..hivyo inabidi uanzie hapo na sio kwenye browser
Sasa rudi katika setting u-add account..katika kudownload select free apps..kununua mpaka uwe na visa au mastercard yenye pesaThanks Inkoskaz kwa msaada wako, iko hivi simu ni mpya haijatumika na mtu, apps store yake haiitwi MARKET inaitwa APPSTORE ambapo ukiifungua Categories zake ni NEW inayoonyesha kila kitu kipya kinaopoongezeka on spot, nyingine ni games, music, Ebook, Beautys, wallpaper na social. Na kwenye kila category kuna vitu na kwenye socia ndo nimona program hizi google plus, yahoo messenger na King's weather. Na nyingi ukitaka kudownload unaambiwa It will charge you 423.73 TZS. Ilipo appstore pia kuna Java, facebook MSN na twitter na ndani ya Java ndiko apps zinakokuwa installed.
Sasa rudi katika setting u-add account..katika kudownload select free apps..kununua mpaka uwe na visa au mastercard yenye pesa