Appreciation To: Dr John Pombe Joseph Magufuli Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa hatua alizochukua kwa ajili ya kupambana na COVID-19

At Calvary

JF-Expert Member
Aug 22, 2018
4,513
3,554
Habari zenu wanajamii
Appreciation To: Dr John Pombe Joseph Magufuli Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa hatua alizochukua kwa ajili ya kupambana na COVID-19, Hakika atakumbukwa kwa kuwa ni uamuzi sahihi sana. Na ni wa kupigiwa mfano na kila mmoja na kwa mataifa mengine yakaribie kujifunza jinsi ambavyo Tanzania imeweza kukabiliana na ugonjwa huu huku ikiendelea na shughuli za kawaida. According to waziri wa afya “Tujifunze kuishi na ugonjwa huu, huku tukiendelea kuchukua tahadhari” .
Kwanza kabisa nipende kudeclare interest, mimi nu miongoni mwa watu ambao wanakoshwa sana na hatua ambazo raisi JPM amekuwa akizichukua, juu ya mambo mbalimbali. Ambayo yakileta mafanikio na maendeleo juu ya taifa yamekuwa letu Tanzania.
Pili nipende kuwaasa ndugu zangu hasa wanaufipa ambao huwa hawapendezwi pale mheshimiwa raisi anaposifiwa, napenda kuwaambia mahala hapa pia ni hapawafai ningependa kuwaasa waishie hapa ili wasijikutibua siku yao. Kama unaweza endelea na karibu kwa maoni yenu.
Kwa mantiki hiyo nipende kusema kwamba kwa jinsi taifa letu la Tanzania chini ya mheshimiwa raisi JPM inavyoshughulikia janga hili la CORONA kwa hakika inafanya vyema ni moja ya hatua madhubuti sana ambazo serikali imeweza kuzichukua. Ni moja za hatua bora sana. Nasema hivyo ni kwa sababu zifuatazo.
1. Ugonjwa huu mpaka wakati huu bada tiba yake wala chajo ni hazijapatikana. Sasa kwa mantiki hio basi kuchukua hatua kali kama vile wanavodai upinzani kwa maoni yangu ni kama kuendelea kupoteza muda na kujilisha upepo. Pia kwa hatua ambazo raisi Magufuli kape notationdekeza naona yuko sahihi na kaona mbali sana kaitazama mbele ya Tanzania itakuwa wapi endapo akichukua hatua za kukurupuka kama wanavodai wapinzani.
2. Hii itasaidia kuokoa na kuendeleza uchumi wa nchi, kwa sababu simply watu watakuwa wakiendelea kufanya kazi hivyo kupelekea kutodorora kwa uchumi kama vile nchi nyingi sasa zinavyohaha au zitakavyohaha hasa nchi bazo zimechukulia huli jambo kwa pupa.
3. Kwa sasa maeneo mengi ya Tanzania hasa nyanda za juu kusini ni msimu wa kukaribia kuvuna, kwa hiyo ikitokea kutangazwa kwa lockdowm itapelekea hawa wakulima kuwa na wasiwasi mazao yao kuvunwa na wengine. Pia kutokana na hali halisi ya Tanzania na serikali ni masikini kwa hiyo ni kujidanganya kusema kwamba serikali itaweza kutoa msaada wa chakula kwa wananchi walio wengi. Ambapo ikitokea wengine wakakosa chakula inaweza kupelekea kuongezeka kwa matukio ya uhalifu. Ili kuzuia hili kufanya wati waendelee na kazi zao ni njia bora sana ya kuzuia hili kutokea.
4. Ukizingatia kwa sasa nchi nyingi ambazo zilifanya lockdown kwa sasa zinaangalia namna ya kuiondoa hio lockdown na kujifunza namna ya kuishi na COVID-19. Kwa hili mimi nipende kuwaambia hao mataifa kwamba waje Tanzania wajifunze namna ya kuishi na CORONA kwa kuwa hili Tanzania wameweza kwa kweli na nipende kutoa kongole kwao.
5. Pia kwa kumalizia mazingira ya nchi ya Tanzania ni vigumu kutumia mbinu ambazo Mbowe na timu yake anapendekeza serikali ya Tanzania itumie, na ilihali wanajua hali halisi ya nchi ya Tanzania kwamba ni ngumu kuziapply. Lengo lao ni kutafuta loophole ili baadae waanze kuilamu serikali kwamba ilishindwa kuhudumia watanzania. Kwa hili nampa heko mheshimiwa raisi JPM.
Kwa hakika zipo sababu nyingi ambazo zinanifanya niweze kukubaliana na uamuzi wa raisi wangu JPM.
Tuendelee kupiga kazi huku tukiendelea kuchukua Tahadhari.
CORONA ipo ni ugonjwa hatari, tujikinge.
Vaa barakoa, nawa na maji tiririka kwa sabuni.
Kama huna mishe jitahidi utulie nyumbani.
Kwenye mkusanyiko jitahidi ukae umbali angalau mita moja mpaka mbili.
Ukiona dalili tajwa za CORONA, chukua tahadhari zaidi uwakinge wengine, kisha chukua hatua uwahi hosipitali.
Viva MAGUFULI Vivaa.
Viva CCM Vivaa.
Kidumu chama tawala.

At Calvary.


Sent using Jamii Forums mobile app by My phone

Eti nabakia Africa.
 
Nikweli ni hatua nzuri kuzika mamia ya watu usiku,

Waheshimiwa kufa na kutosema kwamba ni corona, Kufunga shule na kuacha Makanisa na misikiti,

Kukimbia ofisi na kuwaambia watu wachape kazi, Kushindwa kumzika waziri wake.

Kweli ni hatu nzuri za mataifa mengine kuja kujifunza pia wasisahau kuja kujifunza jinsi ya kuficha takwimi za wanaokufa na kupimwa corona waje wajifunze

Hongera sana Magufuli.
 
Lala mkuu, Teuzi hakuna tena

Subiri uchaguzi ukagombee

Mbona una malue lue,

Hii mbinu yako ya kusifia lazima uwe na nyota, Usiige wanaojifukiza hao ni wazoefu toka enzi zile kwa sangoma
 
Kwa kuwa mamlaka haijathibitisha hayo. Mimi naona tuko sahihi sana.
Kama hayo yanatendeka yatakuja kudhihirika.
Ila kihatua tuko sahihi sema tunakwamishwa na watu wachache wasiotaka kutii mamlaka na kufuata taratibuvza kiafya.
Nikweli ni hatua nzuri kuzika mamia ya watu usiku,

Waheshimiwa kufa na kutosema kwamba ni corona, Kufunga shule na kuacha Makanisa na misikiti,

Kukimbia ofisi na kuwaambia watu wachape kazi, Kushindwa kumzika waziri wake.

Kweli ni hatu nzuri za mataifa mengine kuja kujifunza pia wasisahau kuja kujifunza jinsi ya kuficha takwimi za wanaokufa na kupimwa corona waje wajifunze

Hongera sana Magufuli.

Sent using Jamii Forums mobile app by My phone

Eti nabakia Africa.
 
Habari zenu wanajamii
Appreciation To: Dr John Pombe Joseph Magufuli Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa hatua alizochukua kwa ajili ya kupambana na COVID-19, Hakika atakumbukwa kwa kuwa ni uamuzi sahihi sana. Na ni wa kupigiwa mfano na kila mmoja na kwa mataifa mengine yakaribie kujifunza jinsi ambavyo Tanzania imeweza kukabiliana na ugonjwa huu huku ikiendelea na shughuli za kawaida. According to waziri wa afya “Tujifunze kuishi na ugonjwa huu, huku tukiendelea kuchukua tahadhari” .
Kwanza kabisa nipende kudeclare interest, mimi nu miongoni mwa watu ambao wanakoshwa sana na hatua ambazo raisi JPM amekuwa akizichukua, juu ya mambo mbalimbali. Ambayo yakileta mafanikio na maendeleo juu ya taifa yamekuwa letu Tanzania.
Pili nipende kuwaasa ndugu zangu hasa wanaufipa ambao huwa hawapendezwi pale mheshimiwa raisi anaposifiwa, napenda kuwaambia mahala hapa pia ni hapawafai ningependa kuwaasa waishie hapa ili wasijikutibua siku yao. Kama unaweza endelea na karibu kwa maoni yenu.
Kwa mantiki hiyo nipende kusema kwamba kwa jinsi taifa letu la Tanzania chini ya mheshimiwa raisi JPM inavyoshughulikia janga hili la CORONA kwa hakika inafanya vyema ni moja ya hatua madhubuti sana ambazo serikali imeweza kuzichukua. Ni moja za hatua bora sana. Nasema hivyo ni kwa sababu zifuatazo.
1. Ugonjwa huu mpaka wakati huu bada tiba yake wala chajo ni hazijapatikana. Sasa kwa mantiki hio basi kuchukua hatua kali kama vile wanavodai upinzani kwa maoni yangu ni kama kuendelea kupoteza muda na kujilisha upepo. Pia kwa hatua ambazo raisi Magufuli kape notationdekeza naona yuko sahihi na kaona mbali sana kaitazama mbele ya Tanzania itakuwa wapi endapo akichukua hatua za kukurupuka kama wanavodai wapinzani.
2. Hii itasaidia kuokoa na kuendeleza uchumi wa nchi, kwa sababu simply watu watakuwa wakiendelea kufanya kazi hivyo kupelekea kutodorora kwa uchumi kama vile nchi nyingi sasa zinavyohaha au zitakavyohaha hasa nchi bazo zimechukulia huli jambo kwa pupa.
3. Kwa sasa maeneo mengi ya Tanzania hasa nyanda za juu kusini ni msimu wa kukaribia kuvuna, kwa hiyo ikitokea kutangazwa kwa lockdowm itapelekea hawa wakulima kuwa na wasiwasi mazao yao kuvunwa na wengine. Pia kutokana na hali halisi ya Tanzania na serikali ni masikini kwa hiyo ni kujidanganya kusema kwamba serikali itaweza kutoa msaada wa chakula kwa wananchi walio wengi. Ambapo ikitokea wengine wakakosa chakula inaweza kupelekea kuongezeka kwa matukio ya uhalifu. Ili kuzuia hili kufanya wati waendelee na kazi zao ni njia bora sana ya kuzuia hili kutokea.
4. Ukizingatia kwa sasa nchi nyingi ambazo zilifanya lockdown kwa sasa zinaangalia namna ya kuiondoa hio lockdown na kujifunza namna ya kuishi na COVID-19. Kwa hili mimi nipende kuwaambia hao mataifa kwamba waje Tanzania wajifunze namna ya kuishi na CORONA kwa kuwa hili Tanzania wameweza kwa kweli na nipende kutoa kongole kwao.
5. Pia kwa kumalizia mazingira ya nchi ya Tanzania ni vigumu kutumia mbinu ambazo Mbowe na timu yake anapendekeza serikali ya Tanzania itumie, na ilihali wanajua hali halisi ya nchi ya Tanzania kwamba ni ngumu kuziapply. Lengo lao ni kutafuta loophole ili baadae waanze kuilamu serikali kwamba ilishindwa kuhudumia watanzania. Kwa hili nampa heko mheshimiwa raisi JPM.
Kwa hakika zipo sababu nyingi ambazo zinanifanya niweze kukubaliana na uamuzi wa raisi wangu JPM.
Tuendelee kupiga kazi huku tukiendelea kuchukua Tahadhari.
CORONA ipo ni ugonjwa hatari, tujikinge.
Vaa barakoa, nawa na maji tiririka kwa sabuni.
Kama huna mishe jitahidi utulie nyumbani.
Kwenye mkusanyiko jitahidi ukae umbali angalau mita moja mpaka mbili.
Ukiona dalili tajwa za CORONA, chukua tahadhari zaidi uwakinge wengine, kisha chukua hatua uwahi hosipitali.
Viva MAGUFULI Vivaa.
Viva CCM Vivaa.
Kidumu chama tawala.

At Calvary.


Sent using Jamii Forums mobile app by My phone

Eti nabakia Africa.

Sipaswi kukuhukumu ili nami nisije nikahukumiwa, ila Mungu Jehovah awe hakimu wa kitu ulichoandika hapa.
 
Bwana mkubwa katazama mbele. Utakuja kuamini Mungu akitupea uhai.
..appreciation kwa kutukumbia na kuacha nchi kwenye auto-pilot.

..nadhani janga hili lime-prove kwamba hana msaada wowote.

..Mzee Freeman Mbowe ameonyesha busars, hekima, na kuwajali wananchi, kuliko bwana mkubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app by My phone

Eti nabakia Africa.
 
Bwana mkubwa katazama mbele. Utakuja kuamini Mungu akitupea uhai.

Sent using Jamii Forums mobile app by My phone

Eti nabakia Africa.

..aliwahi kuvaa combat za jeshi nikadhani huyu ni shupavu kama Kagame na Museveni.

..lakini hili la kwenda kujificha wakati huu wa covid19 limeonyesha kwamba hatufai.

..amenikumbusha Saddam Hussein aliyekimbia Baghdad akaenda kujificha kwenye mashimo kijijini alikozaliwa Tikrit.
 
MKuu mtaandika na kumsifia mnavyotaka, lakini kwa hili la kujichimbia wakati huu wa hili tatizo kubwa kwa Taifa kumempotezea sifa zote za kuwa kiongozi wangu. Yaani ni kukosa utu na hekima kulikopitiliza, ni kutokuwa na sifa za kuwa kiongozi kabisa, kiubinadamu ilipaswa Novemba akae pembeni.
P unasemaje?
 
Habari zenu wanajamii
Appreciation To: Dr John Pombe Joseph Magufuli Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa hatua alizochukua kwa ajili ya kupambana na COVID-19, Hakika atakumbukwa kwa kuwa ni uamuzi sahihi sana. Na ni wa kupigiwa mfano na kila mmoja na kwa mataifa mengine yakaribie kujifunza jinsi ambavyo Tanzania imeweza kukabiliana na ugonjwa huu huku ikiendelea na shughuli za kawaida. According to waziri wa afya “Tujifunze kuishi na ugonjwa huu, huku tukiendelea kuchukua tahadhari” .
Kwanza kabisa nipende kudeclare interest, mimi nu miongoni mwa watu ambao wanakoshwa sana na hatua ambazo raisi JPM amekuwa akizichukua, juu ya mambo mbalimbali. Ambayo yakileta mafanikio na maendeleo juu ya taifa yamekuwa letu Tanzania.
Pili nipende kuwaasa ndugu zangu hasa wanaufipa ambao huwa hawapendezwi pale mheshimiwa raisi anaposifiwa, napenda kuwaambia mahala hapa pia ni hapawafai ningependa kuwaasa waishie hapa ili wasijikutibua siku yao. Kama unaweza endelea na karibu kwa maoni yenu.
Kwa mantiki hiyo nipende kusema kwamba kwa jinsi taifa letu la Tanzania chini ya mheshimiwa raisi JPM inavyoshughulikia janga hili la CORONA kwa hakika inafanya vyema ni moja ya hatua madhubuti sana ambazo serikali imeweza kuzichukua. Ni moja za hatua bora sana. Nasema hivyo ni kwa sababu zifuatazo.
1. Ugonjwa huu mpaka wakati huu bada tiba yake wala chajo ni hazijapatikana. Sasa kwa mantiki hio basi kuchukua hatua kali kama vile wanavodai upinzani kwa maoni yangu ni kama kuendelea kupoteza muda na kujilisha upepo. Pia kwa hatua ambazo raisi Magufuli kape notationdekeza naona yuko sahihi na kaona mbali sana kaitazama mbele ya Tanzania itakuwa wapi endapo akichukua hatua za kukurupuka kama wanavodai wapinzani.
2. Hii itasaidia kuokoa na kuendeleza uchumi wa nchi, kwa sababu simply watu watakuwa wakiendelea kufanya kazi hivyo kupelekea kutodorora kwa uchumi kama vile nchi nyingi sasa zinavyohaha au zitakavyohaha hasa nchi bazo zimechukulia huli jambo kwa pupa.
3. Kwa sasa maeneo mengi ya Tanzania hasa nyanda za juu kusini ni msimu wa kukaribia kuvuna, kwa hiyo ikitokea kutangazwa kwa lockdowm itapelekea hawa wakulima kuwa na wasiwasi mazao yao kuvunwa na wengine. Pia kutokana na hali halisi ya Tanzania na serikali ni masikini kwa hiyo ni kujidanganya kusema kwamba serikali itaweza kutoa msaada wa chakula kwa wananchi walio wengi. Ambapo ikitokea wengine wakakosa chakula inaweza kupelekea kuongezeka kwa matukio ya uhalifu. Ili kuzuia hili kufanya wati waendelee na kazi zao ni njia bora sana ya kuzuia hili kutokea.
4. Ukizingatia kwa sasa nchi nyingi ambazo zilifanya lockdown kwa sasa zinaangalia namna ya kuiondoa hio lockdown na kujifunza namna ya kuishi na COVID-19. Kwa hili mimi nipende kuwaambia hao mataifa kwamba waje Tanzania wajifunze namna ya kuishi na CORONA kwa kuwa hili Tanzania wameweza kwa kweli na nipende kutoa kongole kwao.
5. Pia kwa kumalizia mazingira ya nchi ya Tanzania ni vigumu kutumia mbinu ambazo Mbowe na timu yake anapendekeza serikali ya Tanzania itumie, na ilihali wanajua hali halisi ya nchi ya Tanzania kwamba ni ngumu kuziapply. Lengo lao ni kutafuta loophole ili baadae waanze kuilamu serikali kwamba ilishindwa kuhudumia watanzania. Kwa hili nampa heko mheshimiwa raisi JPM.
Kwa hakika zipo sababu nyingi ambazo zinanifanya niweze kukubaliana na uamuzi wa raisi wangu JPM.
Tuendelee kupiga kazi huku tukiendelea kuchukua Tahadhari.
CORONA ipo ni ugonjwa hatari, tujikinge.
Vaa barakoa, nawa na maji tiririka kwa sabuni.
Kama huna mishe jitahidi utulie nyumbani.
Kwenye mkusanyiko jitahidi ukae umbali angalau mita moja mpaka mbili.
Ukiona dalili tajwa za CORONA, chukua tahadhari zaidi uwakinge wengine, kisha chukua hatua uwahi hosipitali.
Viva MAGUFULI Vivaa.
Viva CCM Vivaa.
Kidumu chama tawala.

At Calvary.


Sent using Jamii Forums mobile app by My phone

Eti nabakia Africa.

Watanzania tulikuwa na sifa ya kupendana na kushikamana sana hasa kipindi cha matatizo, wanasiasa na siasa za hovyo vimetufikisha hapa tulipo!

Bila kujali idadi kuwa ni ndogo au kubwa, TUSHIKAMANE, TUPENDANE, TUONDOE TOFAUTI ZETU na tuyaweke pamoja madhaifu yetu tuone tunapokosea ili tusonge mbele!

Kinachokera sasa hivi, mwingine akitoa ushauri kama Mtanzania akiwa kinyume na mwingine basi mpinzani au akiungana na hoja basi chama tawala!

Tunapoteza mno! Hapo hakuna muafaka tena! Tutoe hoja kuendana na hali halisi ya ugonjwa na nchi yetu uchama weka kule turudi kwenye UTANZANIA sasa! Yaan twende kwa hoja, turekebishane, tuonyane na tuwekane sawa.

Tutabishana hadi siku Mtanzania wa mwisho anaingia kaburini! Sijui tulikumbwa na nini, hata mkoloni akirudi sasa hivi hatumii nguvu yoyote kututawala!
 
Nikweli ni hatua nzuri kuzika mamia ya watu usiku,

Waheshimiwa kufa na kutosema kwamba ni corona, Kufunga shule na kuacha Makanisa na misikiti,

Kukimbia ofisi na kuwaambia watu wachape kazi, Kushindwa kumzika waziri wake.

Kweli ni hatu nzuri za mataifa mengine kuja kujifunza pia wasisahau kuja kujifunza jinsi ya kuficha takwimi za wanaokufa na kupimwa corona waje wajifunze

Hongera sana Magufuli.
Umesasahau ma Bar na mahoteli kiende kwa na kazi pia msongamano wa watu mabarabarani.
 
Hujaweka no za simu ndugu. Tunajua lumumba sasa hivi kasi ya kusifu na kutetea ujinga itaongezeka kwa kwa hali ya juu sababu viongozi wanakufa wengi so nafasi zilizo wazi zitakuwa za kutosha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko sahihi sana mkuu
Watanzania tulikuwa na sifa ya kupendana na kushikamana sana hasa kipindi cha matatizo, wanasiasa na siasa za hovyo vimetufikisha hapa tulipo!

Bila kujali idadi kuwa ni ndogo au kubwa, TUSHIKAMANE, TUPENDANE, TUONDOE TOFAUTI ZETU na tuyaweke pamoja madhaifu yetu tuone tunapokosea ili tusonge mbele!

Kinachokera sasa hivi, mwingine akitoa ushauri kama Mtanzania akiwa kinyume na mwingine basi mpinzani au akiungana na hoja basi chama tawala!

Tunapoteza mno! Hapo hakuna muafaka tena! Tutoe hoja kuendana na hali halisi ya ugonjwa na nchi yetu uchama weka kule turudi kwenye UTANZANIA sasa! Yaan twende kwa hoja, turekebishane, tuonyane na tuwekane sawa.

Tutabishana hadi siku Mtanzania wa mwisho anaingia kaburini! Sijui tulikumbwa na nini, hata mkoloni akirudi sasa hivi hatumii nguvu yoyote kututawala!

Sent using Jamii Forums mobile app by My phone

Eti nabakia Africa.
 
Back
Top Bottom