Appreciation: Poleni na Hongera sana JF Moderators

Unfortunately; kwa wale wa siku nyingi, huko nyuma tulikuwa na moderators ambao walikuwa very objective lakini siku hizi naona kuna moderators MUBYAZI kawaleta wanaoelekea kama watu wa KITENGO vile.!

Nyuzi ambazo zinakosoa serikali/ccm kwa nia nzuri ndizo zinazohamishwa na kupotezwa!!! Hii inaipunguzia hadhi yake JF. Hao watu wa kitengo wameinfiltrate ili kupata identity ya members but I believe Mubyazi analilinda hilo.
Mkuu, tunaomba uthibitishe haya uliyoyasema. Vinginevyo tutachukulia kama mtu mwenye nia ya kuharibu brand ya JamiiForums kama taasisi na kumchafua Mwanzilishi wa JamiiForums mbele ya Jamii na Jumuia za Kimataifa.

Tuomba Uthibitishe hao Moderators walioletwa kutoka kitengo ili kuchukua Identity za Watu. Kama utashindwa kuthibitisha, uachie uhuru Sheria za JamiiForums zichukue Mkondo wake.

Sheria uliyovunja ipo hapa: https://www.jamiiforums.com/threads...mwongozo-wa-ushiriki-kwenye-mijadala.1753332/

Pili, tutajie hizo nyuzi unazodai zinakosoa Serikali au CCM kupotezwa. Mfano hii thread inasifia Serikali? Ina muda gani na kwanini haipotezwi, au michango ndani yake kwanini haipotezwi. Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea







Tunasubiri Majibu yako.

Karibu.
 
Mi nina lengo langu kubwa, nataka niwapige BAN moderators wote pamoja na mmiliki
 
Kwani miaka yote wamekuwa hawafanyi kazi unayowasifia?

Mkuu penye red pana husika kwanini kuwasifia mabwana hawa sasa ni muda muafaka:

IMG_20210404_095512_642.jpg


Wimbi la wapotoshaji hawa halikuwa na ari, nguvu wala kasi mpya kama liliyo nayo sasa.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Back
Top Bottom