Life starts at 45
JF-Expert Member
- Sep 22, 2015
- 974
- 932
Habari za saa hii wakuu,
Kuna baadhi ya application ambazo zinatumia internet ila hazihitaji data(MB kutoka kwa ISP) mfano Nala.
Sasa swali langu jee behind the scene hawa jamaa wanaliwezeshaje hili jambo
Chief-Mkwawa
Kuna baadhi ya application ambazo zinatumia internet ila hazihitaji data(MB kutoka kwa ISP) mfano Nala.
Sasa swali langu jee behind the scene hawa jamaa wanaliwezeshaje hili jambo
Chief-Mkwawa