BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,496
- 5,693
Wadau,habari za mida hii.
Kama heading inavyosomeka, mwenye kuifahamu application ya kupakua nyimbo yoyote kwenye simu anijuze.
Mwanzoni nilikua natumia maas4tube kupakua nyimbo yoyote,kwa Sasa baada ya kubadili kimeo,ile application siioni Tena kule play store.
Shukrani za dhati kwa kushiriki kusoma na kuchangia.
Ameeen.
Kama heading inavyosomeka, mwenye kuifahamu application ya kupakua nyimbo yoyote kwenye simu anijuze.
Mwanzoni nilikua natumia maas4tube kupakua nyimbo yoyote,kwa Sasa baada ya kubadili kimeo,ile application siioni Tena kule play store.
Shukrani za dhati kwa kushiriki kusoma na kuchangia.
Ameeen.