DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 3,563
- 5,957
Jamani hapa Tanzania nitapata wapi watu ambao nitawakopesha hela bila riba. Msaada pliz & hide my ID.
Acha Masihara bwana were. Kama kweli unamaanisha wakwanza mimi. Nipe M5 fasta hapo thamana naweka gari yangu.Jamani hapa Tanzania nitapata wapi watu ambao nitawakopesha hela bila riba. Msaada pliz & hide my ID.
Inaitwa BRANCHsasa app ni ipi umesema tala ni kwa ajili ya wakenya huna hakika kama inafanya kazi bongo halafu huo mkwanja kupitia mpesa inamaana uwe na line ya voda?
sio utapali mkuuHata kudanganya hujui .. Hakuna kilaza ambaye atakubaliana na uwongo Wa kitoto kama ulioandika hapa ...
Acheni maisha hayo mtakuwa vilema bure mshindwe Wa kumlaumu
Unawajaribu au siyondo nakopa hapa nikabeti nataka nisilipe nione watachukua hatua gani
ndiyo mkuu. sheria zipo kwa ajili ya kuvunjwaUnawajaribu au siyo
Hebu Fanya unipe mrejesho na mm nikopendiyo mkuu. sheria zipo kwa ajili ya kuvunjwa
kuna siku utakwenda kuomba mkopo benki kwa kuwa mambo yako ya kukimbia rekodi zako ziko benki kuu idara ya wakopaji basi utakuwa umejialibia sifa na hata benki moja haitakusaidiaNlishawahi kula 30,000 cjui ya campany gani na huu mwaka unakwisha sasa na cjalipa. Sasa cjui kama wanataka kuja nikamata au vp
Una emergency yoyote na unahitaji pesa kwa haraka? Unahitaji mkopo? BRANCH ni Application iliyoanzishwa na Mzungu kutoka Marekani inayotoa mikopo direct kwenye simu yako. Unachohitaji ni kuDownload Application hii na kujaza maswali utakayoulizwa ikiwemo majina yako kamili, namba ya simu n.k. Mkopo ni instantly unatumiwa kwenye simu yako na wanakupa na repayment period. Application hii inafanya kazi only in Kenya and Tanzania.
Application nyengine inayoendelea kuwanufaisha Wakenya kwa mikopo moja kwa moja kwenye simu ni TALA. Ila siko sure kama hii Application inafanya TZ but unaeza download na kujaribu.
Trust me these applications dont disappont. Unakuwa na hela sasa hivi.
Thank me later. Enjoy ur weekend.
pata mkopo wako ndani ya dkk 5Kuna hawa jamaa wanajiita kopesha Tanzania je ni kweli wanatoa mikopo?
jaribu hiiHebu Fanya unipe mrejesho na mm nikope
jaribu tala inalipa ni ndani ya 5 minHiyo branch iko play/google store?
halal= riba
Kwani ulisikia ni mikopo ya Kiislam hiyo?