Apple market cap falls below $2T; Fab 5 shed $900B in two days

babu M

JF-Expert Member
Mar 4, 2010
5,221
3,166
Thamani ya hisa za makampuni hasa tech companies zimeanguka kwa asilimia kubwa kuanzia juzi. Megacaps kuanzia jana na leo imepoteza thamani ya dola milioni 900!

Hii ni mara 60 ya bajeti yetu kwa mwaka! This might be just a small correction

-----------------------------

kkk.PNG



kkps.PNG
 
Apple walivyo wajanja unafikiri watachukua muda ku-cover hiyo damage?

watatoa iphone 20 pro wataipachika camera nne wataongeza na ukubwa wa logo.

Kisha wataiuza kwa milioni tano, wale wazee wa kucheza na trending na kujidai wao ndio wanaishi high classic life round hii watauza hadi figo
 
Apple walivyo wajanja unafikiri watachukua muda ku-cover hiyo damage?

watatoa iphone 20 pro wataipachika camera nne wataongeza na ukubwa wa logo.

Kisha wataiuza kwa milioni tano, wale wazee wa kucheza na trending na kujidai wao ndio wanaishi high classic life round hii watauza hadi figo
Wanaitwa isheep, wao hata apple wakiwauzia mavi wakayaita Imavi watanunua na watatembea nayo mtaani kama ufahari.

Apple ina waumini wao, inawaambia cha kutumia na cha kununua na wao wanatii na kufuata maagizo ya bwana mkubwa Tim Cook.
 
Back
Top Bottom