Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,028
Yes asante kwa kunisahihisha, ila ukiangalia data za mwaka jana Ford kaanza anafuata Toyota ndo Chevrolet, na mwaka huu si ajabu itakuwa same.Ford ndie anaongoza Toyota ni duniani kwa ujumla ila ukija soko la marekani sio kihivyo. Brand kama Ford, Chevrolet kwa marekani ndizo zinauza sana na wana magari mengi sana ya kisasa ambayo Toyota hafui dafu inapokuja swala la performance.
Ukiangalia comments za wazungu wanasema Japanese cars ni reliable na easy to mantain.